Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Baada KDF kushindwa Congo na wacongo wakaamua kuwaondoa sasa jeshi la polisi la Kenya limeishindwa Haiti kabisa, mitaa haikaliki, shule zinafungwa, hospitali zimejaa wahanga wa vurugu na kuzidiwa...
1 Reactions
11 Replies
709 Views
Balozi wa Marekani nchini Kenya, Meg Whitman, ametangaza kujiuzulu tarehe 13 Novemba 2024. Kulingana na taarifa aliyoitoa leo amedai kuwa ameshawasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa aliyekuwa...
0 Reactions
5 Replies
869 Views
Tanzania tunaweza kuiga hii ni faida ya Katiba Mpya Wanafunzi wa secondary ambao walipata mimba na tarehe za Mitihani zimewakutia hospital basi wanapelekewa Mitihani huko huko hospital na...
0 Reactions
12 Replies
395 Views
Maafisa wa Huduma ya Wanyamapori ya Kenya (KWS) huko Mombasa wamewakamata raia wawili wa Tanzania kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya pembe za ndovu zenye thamani ya Ksh milioni 3.3...
0 Reactions
9 Replies
626 Views
Wakenya watalazimika kulipa zaidi ya KSh 1.7 Bilioni kama faini kwa kuchelewesha kulipa mkopo wa reli ya SGR kutoka kwa Benki ya Exim ya China katika mwaka wa fedha wa 2023/24. Hii ni kutokana na...
2 Reactions
3 Replies
636 Views
G4S Kenya imetangaza kuwa itapunguza angalau wafanyakazi 400 kufuatia kupungua kwa biashara kunakosababishwa na athari za changamoto ngumu za kiuchumi, hali ambayo imesababisha kupungua kwa mapato...
0 Reactions
2 Replies
345 Views
Kalonzo and Gachagua’s camps are reportedly meeting in secret to devise a formula to defeat Ruto in 2027. For Gachagua, winning a duel with Ruto would be sweet revenge against the President...
0 Reactions
2 Replies
655 Views
29 people still missing as police deny role in anti-tax bill protest abductions The National Police Service (NPS) has recorded 57 abduction cases since the youth-led demonstrations began on June...
0 Reactions
2 Replies
387 Views
Biashara ya Kenya ndani ya bara la Afrika imeendelea kuimarika, huku ikiongezeka kwa asilimia 26 katika miezi saba ya kwanza ya mwaka 2024 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliopita...
1 Reactions
5 Replies
456 Views
Balozi wa Marekani nchini Kenya, Meg Whitman, ameonesha wasiwasi wake kuhusu ripoti iliyotoka hivi karibuni ambayo inaonesha kuwa polisi wa Kenya wanatumia taarifa za watumiaji wa simu ili kuweza...
1 Reactions
3 Replies
372 Views
Duru zinaeleza kuwa aliyekua Naibu Rais wa Kenya amewaelekeza wanasheria wake kufungua kesi Mahakama ya ICC The Hague ili apate haki yake ambavyo ameikosa kwenye Mahakama za Kenya.
2 Reactions
6 Replies
503 Views
Jopo la majaji watatu - Mahakama Kuu nchini Kenya limetoa uamuzi kuwa Naibu Rais (Mteule) Professor Kithure Kindiki kuapishwa baada ya Gachagua kufukuzwa na Seneti. Source: Nation Media...
2 Reactions
7 Replies
464 Views
#BREAKING: Naibu rais mteule wa Kenya, Kindiki Kithure, ataapishwa hapo kesho katika jumba la mikutano la KICC. Ikumbukwe kuwa leo Mahakama Kuu jijini Nairobi ilifutilia mbali agizo la Mahakama...
1 Reactions
9 Replies
934 Views
Profesa Abraham Kithure Kindiki ameapishwa rasmi kuwa Naibu Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Kenya. Kindiki ameapishwa na Msajili wa Mahakama nchini Kenya, Winfrida Mokaya mbele ya Jaji Mkuu Martha...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Home Sweet Home! Thanking God for the gift of my family. The smell of fresh grass, sounds of chirping birds is what a happy family needs. I will remain forever grateful to God, for giving me a...
2 Reactions
4 Replies
661 Views
Imeisha hiyo Tanzania tujipange Sawa Sawa Kukamata fursa za kiuchumi wakati jirani wakiwa wamejikita kwenye siasa za ndani Mahakama yasema Prof Kindiki aapishwe kuwa Naibu Rais badala ya...
2 Reactions
11 Replies
571 Views
Nandi Senator Samson Cherargei: As we talk today, my phone has over 12,000 SMS and close to 20,000 WhatsApp messages, and I have received so many phone calls, Mr. Speaker. Even the email address...
0 Reactions
3 Replies
455 Views
Naibu wa Rais aliyeondolewa Madarakani amekimbilia Mahakama ya Rufaa kupinga Naibu Jaji Mkuu kuteua Majaji watatu wa kusikiliza kesi yake Mahakama kuu...
2 Reactions
2 Replies
466 Views
Im wishing you a wonderful moment at your 63 years birth day
2 Reactions
2 Replies
253 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…