Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Vigezo. 1.Umri kuanzia miaka 30, 2.Maji ya kunde au mweupe wa asili na sio weupe wa dukani. 3. Awe anajishughulisha na kazi yeyote(sio utapeli) 4. Umbo la wastani, yaani mrefu kidogo na sio mfupi...
1 Reactions
3 Replies
869 Views
Habari wanajamvi, Mimi naitwa Mjina Mrefu, nina umri wa miaka 35. Nilishaoa mke wa kwanza miaka sita iliyopita na nina watoto wawili wa kike. Sasa ninaona ni muda muafaka wa kuongeza mke wa...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Habar zenu wana Kama kichwa cha habar hapo juu Daah aisee hakuna kitu kigumu mno kama kuzuia hisia zako , yaan ukizoea kufanya mapenz halaf ukakosa kwa mda akili inakua haifanyi kazi yake vzur...
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Mambo vipi jaman natamani kuwa na gf wa arusha Masharti Ataeka mwenyewe either strings attached au A friend with benefit Kuhusu mimi nina miaka 23 Nasoma Chuo flani hivi Hapa Arusha Usogope...
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Ninanyoa Nywele za Sehemu za siri pamoja na Makwapani. Kwa bei nafuu. Nnatumia wembe, Gillette na Shaving Machine. Hii ni kwa Wamama, Wadada pamoja na Mabinti. Ninakufuata popote ulipo ndani ya...
0 Reactions
9 Replies
959 Views
They say beautiful ladies are hard to find ,well I guess you are not hiding... ....... lets go tupia wako.
1 Reactions
4 Replies
744 Views
Habari za humu Natafuta mume mwenye sifa zifuatazo Umri 27-34 Elimu si kigenzo cha mume bora Pesa inatafutwa Dini muhimu kuwa mkristo safi Kingezo kikubwa na cha Muhimu Mcha Mungu na Mwenye...
7 Reactions
149 Replies
17K Views
Habari Natafuta Mke ambaye atakuwa tayari kuishi na Mimi marekani, sichagui kabila wala dini Bali ningependa mwanamke huyo awe na sifa zifuatazo :- 1.awe msafi 2.awe mrefu kiasi 3.awe na chura...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Habar wana jamii Imemtokea jamaa yangu naishi nae jirani ambae alikutana na demu mwez mmoja uliopita,wakakubaliana kuingia kwenye mahusiano na kupeana mda wa kuachana na wale wapenzi walioanza nao...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo Umri kuanzia miaka 31 - 40 Color : Any Tribe : Any Education : Degree na kuendelea Religion : Christian Kabila : Asiwe mchaga au wa...
9 Reactions
356 Replies
20K Views
Kwanza naomba nianze kwa kujitambulisha.. Mimi ni mkazi wa Tanzania na nimejiunga jamii forum zaidi ya miaka kumi sasa lakini niliifahamu JF miaka mitatu kabla ya hapo. NB kujiunga miaka kumi...
1 Reactions
5 Replies
999 Views
Habari, husika na kichwa hapo juu, natafuta mke anayejitambua na kujua nini maana ya ndoa, na mwenye heshima kwa mume - sifa zangu kwa ufupi:- - Nina miaka 30 -mrefu, mwembamba kiasi, rangi yangu...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
natafuta girlfriend umri wowote sichagui rangi wala umbo ambae yupo tayari anipm anytime
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mm n kijan wa miak 23, mwanafunz w mwk w 3 chuo n niko single. Natafut mpenz w kike mwny sifa zifuatazo: Umri: miak 19-22, Dini: yoyote mahali: awe anaishi dar. Kw yoyot alie tayar nichek kwny...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Mimi ni binti wa miaka 24, mkristu (RC) nimeajiriwa, sina mtoto. Natafuta mwanaume wa kunioa, umri 26-35, mkristu, asiwe na mtoto. Nitafute tmaganga21@gmail.com
23 Reactions
139 Replies
20K Views
Naamini mke anaweza kupatikana mahali popote pale Mungu ndo humwongoza mtu kupata mke mwema Sifa zangu Umri:30 Elimu:Chuo Kazi:Nimejiajiri Dini:Mkristo Sifa za nimtakae Umri:19-32 Elimu...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Habari zenu wana jukwaa, mimi ni kijana wa kiume, makazi yangu ni dar es salaam maeneo ya chanika Lengo na dhumuni kuja mbele yenu nahitaji binti ambaye yuko tayari kuingia katika mahusiani nami...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari zenu, naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu. WASIFU WANGU -nina umri wa miaka 23. -nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A -sina mtoto...
25 Reactions
99 Replies
26K Views
Nahtaji mrembo mmoja wa kushare nae mambo fulani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
798 Views
Mambo zenu wapenzi ,nashindwa kumuelewa huyu mwanaume tulie achana nae japo kua tumeachana anapenda tuishi kama marafiki, Anadai hawezi kukaa kimya bira kunitafuta na kunisalimia Mimi fikra zangu...
3 Reactions
49 Replies
5K Views
Back
Top Bottom