Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Silvester Niko Dar natafuta mchumba, umri wangu ni miaka 29, mchumba ninaemtafuta awe mkweli na mwelewa na awe na shepu, mimi ni mjasiliamali naitaji mchumba ili tusaidiane maisha sitanii ni kwl...
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Hello my people how are you. I do believe that one can get a husband or wife anywhere as long as they have the same commonalities. That being the case I Binti Mimi is searching for my soul mate to...
7 Reactions
175 Replies
14K Views
Mke anahitajika popote alipo. Nina umri wa miaka 28, nina mtoto mmoja, mama yake hajafa yupo hai ila ni dini tu ndo imetufanya tusiwe pamoja. Mimi ni mfanyabiashara, kuhusu elimu nina degree ya...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimekuwa nikipitia posts nyingi humu JF, hasa katika jukwaa la Love Connect, wanawake wengi wanaotafuta wanaume wa kuwaoa, kwa kweli nimegundua kuwa wengi wao hawako very serious na kile ambacho...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana familia..Niende kwenye JIPU MOJA KWA MOJA. KUNA KATABIA Nimejaribu kukachunguza cha wanawake wengi pale wanapoalikwa "DATE" na wanaume huwa inapokuja muda wa CHAKULA wanawake...
0 Reactions
2 Replies
713 Views
Qualifications: Tall Handsome (smart man) Asiwe mwebamba sana wala mnene sana Age from 28 to 45 Asiwe na kitambi[emoji20] Sihitaji ndoa (stress tupu)[emoji57] Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuamua...
15 Reactions
184 Replies
11K Views
Awe na umri kati ya miaka 21-26,mkristo wa kanisa katoliki, elimu yoyote, awe tayari kuolewa, mwenye ajira hata asiyeajiriwa, kabila lolote ili mradi ana maadili mema, niko tayari kuoa, mi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu habari za mihangaiko ya kutwa nzima. Napenda kuwasilisha mada yangu hapa mezani lengo lango niko serious kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu..... Ni kijana mwenye umri wa miaka...
1 Reactions
69 Replies
7K Views
Mm ni mtu wa over 40 yrs natafuta mama aliyefiwa na mume anayehitaji kuliwazwa kisaikolojia na kimapenzi pia, sihitaji pesa zake, mimi ninazo zangu. Mwenye nia aje PM.
0 Reactions
2 Replies
514 Views
Natumai muwazima wote . Kwanza naomba nitangulize shukurani za kusoma hii Thread yangu. Mimi ni mwanamke umri 25-30 . Natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa katika mahusiano ya kiuchumba...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Jamani walioko mbeya wadada nipe kampani japo nilijue jiji na mataa yake Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
816 Views
Namsaka mwanamke ambaye anatumia mafuta ya kawaida kama rays,baby care au anayepaka parachichi usoni ama mafuta ya asili kama nazi.je mchina alivyojaa nitampata kweli mabinti wa kibongo,kazi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nahitaji rafiki wa kike, hii inaweza isilete maana nzuri kwamba pengine sipo serious, ila kuna wakati unajikuta hauna neno jingine la kusema zaidi ya hilo. And this is very serious, tangu...
5 Reactions
85 Replies
5K Views
Mimi ni kijana wa miaka 27 ni Dr Nimeajiriwa, mweupe ,sio mnene Mrefu, mkristo Naitaji mke asiwe awe angalau amefika form six asiwe mwembamba Sana mkristo, mwaminifuu unaweza uka ni DM au my...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari ya muda huu wakubwa..!! Kama nilivyo anza juu hapo mimi natafuta rafiki wa kike yani/ girlfriend..!! Binafsi Umri wangu 24..!! Vigezo mwanamke awe na upendo wa kweli..!! Npo serious...
0 Reactions
2 Replies
562 Views
Naomba tupeane uzoefu wa jinsi hali inavyokuwa unavyojua na kujihakikishia kuwa mwenzio (mke/mume/mpenzi) kachepuka uchungu na uzito tunao lipa tatizo hili huwa ni sawa kwa wanaume na wanawake...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Natafuta mpenzi wa kike girlfriend under 28 years contact 0785549057 kwa ukaribu na kufahamiana zaid Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
685 Views
  • Closed
Hellow: Mimi ni msichana wa miaka 28 and am single,ningependa kupata boyfriend ambae nae yupo single Vigezo: Age: above 28 Education: degree and above
18 Reactions
225 Replies
17K Views
Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa. Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo. Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi...
16 Reactions
128 Replies
10K Views
Mimi ni kijana wa miaka 29. Mwajiriwa. Nahitaji mwanamke wa kuoa. Dini yeyote. Awe na umri kuanzia 20-28 Awe na elimu kuanzia kidato cha 4 kuendelea. Asiye na kazi ya kumuongezea kipato atapewa...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom