Wakuu habari yenu
Mm kwa jina naitwa David Denis. Ni graduate enginner . Natafuta mke/mchumba awe chini ya miaka 24. Aliyeko tayari anitafute inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa
Age 21 hadi 32
Mrefu, white kidogo awe na umbo namba 8
Awe anafanya kazi muajiriwa au mfanyabiashara
Sifa zangu mimi
Age 28, mrefu futi 6, chocklet colour sio maji ya kunde sio mweusi...
Niko seriosy nataka mke wa kuoa, nina miaka 32 kazi yangu mwalimu natafuta mke wa kuoa nimechoka kukaa hivi.
Vigezo;
1.Muislam atakae weza kumcha muumba wake kwa kuswali na mambo mengine
2.Umri...
Habar wana jf, Mimi ni mtanzania halisi najitokeza Kwa mara ya kwanza kutafuta mke Wa kuoa.
Jina : Deric Mabala
Umri wangu : 34
Kabila langu : Mbende
Mahali napoishi :Dar es salaam
Elimu yangu...
Naitwa Baraka umri miaka 27 mkazi wa kitunda hapaDar, nahitaji mpenzi umbo lolote ila asiwe mwembamba sana awe mnene wa wastani na awe mkweli na mwelewa, kwa aliyetayari tutafutane kwa namba hii...
Nisaidieni jamani huyu ni mwaminivu au natapeliwa kimapenzi?yaani mpenzi wangu nikiwa Naye kupeana jamboz tukimaliza tu pesa ukimpa 20000 analalamika bila kushukuru na anakwambia kesho unipe tena...
Mimi ni mwanaume, nina miaka 31. Ninatafuta Mwanamke wa kuoa. Umri 24 hadi 27, Mkristo. Kama upo serious, ni pm. Kejeli sitaki! NB; Post inawahusu wanawake tu; mwanaume usiandike chochote hapa
Habari wakuu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 natafuta msichana ambae ni mpweke na mwenye upendo wa kweli anayetafuta utulivu wa nafsi na mwenye tabia ya kupendeza, hofu ya Mungu na...
Hello wanajamvini.
Tusaidianeni mawazo wakubwa,mke mwema ni yupi na anatabia gani maana wengi ndiyo wanamapenzi sio tatizo na nijitolee mfano mimi,nna nyota ya kupendwa na wanawake wengi na...
Habari za majukumu wana JF,
Mimi ni kijana 28 yrs naishi TMK. Natafuta mdada atakae kuwa tayari kunipenda na kutekeleza plan ambazo tutazipanga kama partners.
Sifa;
Umri miaka 18 hadi 26.
Awe...
Kichwa kipo sahihi nadhani.
Vigezo. Umri 18-22.
Shape; normal size not over size.
Urefu; not more than futi 6
Dini: yoyote ila sio ya kuamini mizimu...
Habari za humu,
Serious jamani nahitaji mtu ambaye anauhitaji wa kuwa na mke baada ya kuridhiana, awe anajielewa, asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara, miaka kuanzia 28-34 awe muislam.
Mimi ni...
Jamani mabinti wa jamvini aliyetayari ajitokeze. Mume nimejitokeza. Nina miaka 32 sibagui dini wala kabila umri mwisho miaka 45 sitaki chini ya miaka 30
Sent from my SM-G530H using JamiiForums...
Iam a 28 years old guy. Natafuta mchumba:
*Dini yoyote.
*Umri 20 na kuendelea.
*Rangi yoyote.
*Figure wastani.
*Elimu - Form 4 angalau.
*Awe anajua kuongea na kuandika kizungu japo kidogo.
* Awe...
Ndugu zangu nawasalimu kwa upendo mkubwa na ni imani yangu kuwa mmekuwa na siku njema kabsa,juzi nilikuja katika jukwaa hili nikaeleza hitaji langu la kupata mke wa kuoa na niwashukuru wale ambao...
Mimi ni kijana umri miaka 27, natafuta marafiki wabunifu ambao wako tayar kushirikiana n mimi katika kubadilishana mawaz na uzoefu katika maswala ya kijasiliamal .
sending using jamiiforum makinikia
Habari zenu wanajamvi,bilashaka mmekuwa na jpili iliyonjema kabsa.Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35,ni daktari wa binadamu na naishi dar na nimebahatika kupata watoto wawili ambao nawapenda...