Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari za usiku wana jamvi Rejea kichwa cha habari Nmekuwa na uume mkubwa sana unakaribia nchi 10 ambayo na vigum kupata mwanamke wote wananiacha wakidai wanaumia wakati wa kujamiana kwhyo...
2 Reactions
91 Replies
17K Views
Mdogo wangu 22yrs amejiari yupo hapa dar es salaam anahitaji mume,kaniomba nimsaidie sifa ni zile tu za mwanamme ,please for the one who is serious pm me and I will let u contact her,asanten
2 Reactions
84 Replies
7K Views
Nahitaji mwenza ambaye atakuwa tayari kufunga ndoa soon. Mwanamke ninayependa awe mke wangu awe na sifa zifuatazo. Mwaminifu Mkweli Miaka 26-34 Mwenye shughuli ya kipato halali Mkristo kama...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Hivi, hawa warembo ambao wanatafuta wachumba humu Jf mbona mimi nikiwatafuta hawarespond? Mimi ninahitaji kuwa na mwanamke, lakini hawa hawako serious!! Au wanafanya utani tu? Kwa mwanamke aliye...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
She must be; Aged 18 to 28 Christian Dar es Salaam Honestly and trustfully.
0 Reactions
6 Replies
796 Views
Kuna kitu kinanikera sana, unakuta kijana kaja kwenye jukwaa hili kwa nia nzuri kabisa ya kutafuta mke, mchumba au rafiki wa kike lakin comments za matusi atakazopata toka kwa wanaume wenzie mpaka...
2 Reactions
5 Replies
818 Views
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla. Mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada...
24 Reactions
184 Replies
27K Views
Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25...
9 Reactions
159 Replies
11K Views
Mwamkazeze, Sijawahi kufanikiwa kupata mchumba humu tangu nianze kutafuta, Embu nioneeni huruma. Hata kama nna nyota ya bashite hii too much! Kweli binadamu hawana huruma! Tupendane jamani ht...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu Uzi upo wazi kabisa na nipo serious kwelikweli kwani natafuta MWANAMKE ambae yupo serious na Mwenye kutaka mahusiano na hatimae kufikia hatua ya NDOA. Narudia tena nataka kuoa ...
1 Reactions
9 Replies
877 Views
Jamani natafuta mwanamke wa kuoa alietayari anicheki tuyajenge
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Nimeoa Nina mke na nina mpenda kila kitu nampa na isitoshe mshahara wangu ukitoka huwa namwambia na tunapanga bajeti yetu tunaenda wote Bank kutoa hela na ananiambia chukua na rist nachukua...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajiliwa serikalini natafuta msichana kuishi nae mungu akijaalia awe mke Wangu umri kuanzia miaka 20 mpaka 26 awe na shughuli yoyote halali alive serious tuwasiliane...
1 Reactions
78 Replies
10K Views
  • Closed
Habari zenu, Natafuta mwanaume ambaye anaweza kuwa mume. Sifa zake; Muislam mwenye hofu ya Mungu Miaka 28-35 Elimu degree (yoyote) au mwenye future na maisha yake(mfanya biashara)au Mkulima,nau...
10 Reactions
43 Replies
7K Views
natafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina...
8 Reactions
96 Replies
7K Views
Naitwa morice naishi dar Natafuta mume wakunioa awe msomi na mwenyewe hofu ya mungu
12 Reactions
67 Replies
15K Views
Wanabodi salaam.Jaman natafuta msichana mrembo ,mwenye mvuto ili awe mke wangu.Mimi ni mrefu ,maji ya kunde na nafanya kazi serikalini.Kwa sasa nina umri wa miaka 35.Kwa ninayemtaka awe mrefu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 31 natafuta mke wa kuoa nimechoka kuwa mpweke msichana awe na umri wa miaka 23 mpaka 26. Aliye interested tuwasiliane pm, please kama hii post haikuhusu ipotezee tu.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MKE MWEMA NI HUYU. Mcha Mungu, Mvumilivu, Mstahimilivu uliyeokoka na kumkiri Mungu kwa kumaanisha na siyo kumkiri kwa mdomo tu wakati moyoni hakuna Mungu, (Hiki ni kigezo muhimu zaidi)...
0 Reactions
39 Replies
2K Views
Habarini wadau, Mimi ni kijana wa miaka 32, ila nina watoto watatu kwa mama wawili tofauti, mtoto wa kwanza nilizaa na mwanamke ambae alihitaji tu mtoto lakini ana maisha yake na wala haitaji...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom