Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mwanaume, nna miaka 28 nna kazi yangu (mwajiriwa). Natafuta mwenzi wa maisha. Awe mkiristo, hasa kanda ya ziwa. Umri 22-30 na asiwe mlevi. Karibuni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina umri wa Miaka 23 Nasoma Shahada ya Udaktari Mwaka wa Pili Niko Dar es salaam Natafuta Rafiki wa Kike Umri awe 18-21 Sibagui Dini Awe anaishi Dar es Salaam Awe mwanachuo wa chuo chochote Awe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 31 natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo: Umri 20+ Elimu: Kidato cha nne na kuendelea Urefu: 173 cm na kuendelea Dini: Mkristo Mwenye sifa anitumie...
0 Reactions
1 Replies
715 Views
habari ya weeked!!! katika kuadhimisha siku hiyo hebu tukumbuk kidogo huko nyuma tulipokuwa wadogo (watoto) kama wa kiafrika. je ni jambo gani utawashukuru , pongeza, laumu au hata kuto kusahau...
0 Reactions
2 Replies
619 Views
Serious girl friend is needed Location:dar es salaam, morogoro & dodoma Age:21-40 Job:she must be working or business lady Language:English & swahili. Any one who is ready just pm!!!!
0 Reactions
2 Replies
573 Views
Kumekuwa na matukio mengi sana siku za karibuni na yakizid kuongezeka kadri siku znavyokwenda. Matukio haya yamekuwa yakitokana na kukosekana kwa uaminifu kwny ndoa. Lakini kitu cha kushangaza...
1 Reactions
7 Replies
932 Views
Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati sifa zangu sina mtoto sijawai olewa nimewai kuwa na mahusiano elimu kidato cha nne sio mnene wala sio mwembamba rangi ya...
9 Reactions
61 Replies
7K Views
Habari zenu wana jf,kuna rafiki yangu amenishauri nije humu ntapata mchumba kwakua yeye kapata humu na wamefunga ndoa. Naitaji mwanaume anae itaji mwanamke natoa ahadi mapema nitampenda akitokea...
3 Reactions
51 Replies
4K Views
Nina mpenzi asiye nidhamini kila nikitoka kwenda kazini yeye anajipa shugli na wengine wa kindia yangu kila nikimuliza ananitema
0 Reactions
26 Replies
2K Views
AS TOPIC says...I NEED a man mentioned there if you are there with no one just turn this way!I WANT a person whom we can settle down and start a family together. The fist thing he must agree for...
2 Reactions
119 Replies
11K Views
  • Poll Poll
Jamani kama thread inavyojieleza...I am looking for 'my beautiful Miss' that i will later make her 'my Wifey'! Jamani wadada changamkieni fursa hii, ni adimu sana kumpata kijana kama mimi...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi umri wangu miaka 29 din sichagui wala kabila aliok tayar anicheki kwa namba 0675038948
0 Reactions
2 Replies
844 Views
Habari wana JF? Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, elimu yangu ni chuo kikuu, nahitaji kuwa na msichana mwenye umri kuanzia 20-25 elimu yake kuanzia kidato cha sita, diploma hadi chuo kikuu...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
habari zenu wapendwa! naitwa Amiry Samiry ni kijana wa miaka 29 now kabila langu Mbondei wa Tanga Muheza Dini yangu Muislam.. ninafanya kazi Serengeti kiwanda cha bia Moshi mkoani Kilimanjaro...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
As salaam alykum, amani ya mungu iwe nanyi, mimi nina miaka 32 elim yangu ni certificate ya ualim kwa sasa npo Dodoma chuo mwaka wapili nikisoma shahada ya ualim yaan najiendeleza kielim. Dini...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima Nikiwa na huzuni kubwa naandika uzi huu kwa lengo la kumuomba msamaha rafiki yangu wa utotoni na wa muda mrefu John (Ni jina lake halisi) kwa yote...
14 Reactions
154 Replies
9K Views
Habari wakuu, Baada ya salamu ni wape pole na majukumu yenu,mimi ni mwanaume nina miaka 40 Nina watoto wawili (mama tofauti) kwa sasa niko single na nnaishi Zanzibar (CHRISTIAN) Watoto wako mmoja...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa kuwa Moja ya kazi za mitandao ni kutuunganisha watu wa aina tofauti tofauti basi nami nitumie Hii nafasi adhimu nilyonayo Natafuta msichana Mzuri wa sura pamoja na tabia ili niweze kumfanya...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Mrejesho : Nashukuru kwa mlionidhihaki na maneno na matusi yenu but mi sio aina hiyo ya wasichana mnaodhani niliweka vigezo vile kupima ni aina gani ya wanaume waliopo Tanzania but nimegundua...
16 Reactions
308 Replies
28K Views
Sifa: -Awe mchaga anayeishi Dar es Salaam -Umri miaka 30-40 -Dini Mkristo Mlutheri -Awe anajishughulisha au muajiriwa. -Awe mweupe asiwe mrefu sana size ya kati. Sifa zangu: Ninafanya kazi Dar...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom