Habari zenu,kiukweli nimekuwa addicted na wanawake weusi sio weusi ila weusi kama mkaa.
Nikiona msichana wa hivyo uwa napagawa.
elimu yangu nina diploma ya clinical medicine .
-umri nina miaka 25...
Natanguliza shukrani kwa Mungu aliempa maarifa mwanzilishi wa hiki kitu kwani bila wao nisingekua hapa.
Japokua sikuweka tangazo la kumtafuta mwenza lakini kwa neema,rehema na mipango ya Mwenyezi...
I'm a 28year old lady who runs a start-up. I'm looking to meet a Tanzanian gentleman aged 30-40 who is looking for a serious relationship. I love reading and traveling, and enjoy any outdoor...
Aslaaam aleikum
Serious natafta mke muislaam ...umri Wangu ni miaka 36....awe na umri wowote Ila lazma aidha ajue dini au awe tayari kusoma dini
Awe na hofu na mwenyez mungu...awe tayari na...
Mimi ni kijana wa mikaa 27, ni Afisa wa Serikali (Maliasili). Elimu yangu ni shahada (BSc. Forestry). Ila Binti awe na Elimu ya Kuanzia cheti (Certificate), stashahada (Diploma) au Shahada...
Habari wakuu,
Kwa Mara ya kwanza najitokeza kuandika Uzi huu special kwaajili ya kumtafuta msaidizi/mke/mchumba.
Mimi ni kijana wa miaka 28, naishi Dar. Dini yangu mkristo na nina mcha Mungu...
Hello everyone
Just thought i should try, i might get lucky.
I am 27 yrs old n 2 weeks pregnant, unfortunately i have to choose between being a single mother and abortion (God forbid).
But...
Habari,
Mimi ni kijana wa miaka 28 niko single, nimejiajiri. Nahitaji mwanamke aliye serious, mwenye kumuogopa mungu. Awe tayari kupima.
Maelezo zaidi ni PM.
Kichwa cha habari cha husika mimi ni mwanamke naishi Njombe, natafuta rafiki ambaye tutashauriana issue mbalimbali kuhusu ili janga ikiwezekana baadae awe mume. Awe na sifa zifuatazo ...
Mimi ni kijana wa umri takribani miaka 30 sasa. Elimu yangu ni shahada ya kwanza(Engineering) toka Udsm na kwasasa ni muajiriwa kwa private company moja huko kanda ya ziwa.
Natafuta mke mwema...
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Nina umri wa miaka 28 mwajiriwa, kwa kipindi nimekuwa natafuta mchumba na mke wa kumuoa bila mafanikio. Nimekuja rasmi kwa jukwaa hili kutangaza kwamba hili...
Jna naitwa Mohammed Ramsey
Naish Dar es salaam
Umri wangu miaka 26
Kabila langu Mzaramo
Natafuta mchumba ili awe mke wangu
Awe mwenye kujitambua na mwenye uelewa
Umri awe kat ya 18_24
Alikuwa...
Mi nna umri wa miaka 30.ni graduate wa shahada ya kwanza na nmejiajiri kwenye project zangu.
Natafuta mchuchu mwenye nia ya dhati tufanye maisha whatsapp me through +255758502366
Nataka kuoa watu wenye ethnic hizo mbili, sina sababu ila basi tu nataka kufanya vitu tofauti na wengine. Kama umo humu here is your chance don't let it pass you by
Habari za week end wana JF?
Mimi binafsi niko salama namshukuru Mwenyezi Mungu, naomba nitumie nafasi hii
adhim ya JF kujitafutia mume. Mwenye nia ya dhati anipm.
Am serious jamani
Utani tuweke...
Mimi ni kijana mwenye umli wa miaka 31 ni muajiliwa serikalini elimu yangu ni shahada
Nahitaji mke mwenye nia ya dhati kujenga familia umli miaka 24 mpaka 33
Kwa alie serious napatikana kwa...