Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kuna kipindi nilikuja hapa jukwaani kulalamika na kuomba wanajukwaa hili wanisaidie kumpata mwanamke niliyempenda sana na ni member anayejulikana kwa jina la rubii baada ya jitihada za...
41 Reactions
344 Replies
18K Views
Sijui ni stress za maisha umeshaambiwa hapa ni LOVE Connect mtu anatoka alikotoka anaanza kuwakosoa wanaosaka wachumba Mara wawakejeli sasa umefungua page hii ya nini kama huna positive...
11 Reactions
31 Replies
4K Views
Re: ADVERTISMENT More than serious nahitaji mume wandugu Wana JF, mimi ni mwanadada na leo nimeona nijitoe muhanga kabisa maana ninahitaji mume/mchumba. Niko tayari kupokea kukosolewa ila...
10 Reactions
137 Replies
14K Views
Kuna huyu Binti n rafiki angu sana, ni rafiki wa kawaida tu. Ila amekuwa akinifanyia vitu kama mpenzi wake vile. Yan ananijali kuliko hata mpenz wangu. Yeye ana mpenz wake pia. Kila muda lazima...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za wakati ndugu zangu, Ninapenda kuomba msichana urefu wa cm 160, mweupe kidogo, mcha Mungu, elimu form six na kuendelea, bikira. Mnyenyekevu, kabila lolote, asiye na hasira mbaya; asiye...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Hodi wanaJF, Trending news ni Makonda na vita thidi ya madawa ya kulevya, naunga mkono mapambano hayo, lakini naendelea na ratiba yangu ambayo leo ndio siku yangu rasmi ya kutangaza nia ya...
1 Reactions
200 Replies
12K Views
Watu wenye masihara wamevamia jukwaa hili,unakuta MTU ameweka post ya kutafuta mpenzi kumbe hayuko serious,anataka aone tu wangapi watampaparikia! hasa wasichana na wanawake ndo wenye tabia hizi...
11 Reactions
105 Replies
6K Views
Mimi ni mvulana wa miaka 27 nafanyia kazi serikalini nikiwa kama afisa msafirishaji, natafuta mwenza niishi naye awe dini yeyote. Aliyetayari namkaribisha.mawasiliano.ukimbile@yahoo.com
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ninafuatilia taraka kwa mke tuliyeshindwana kuendelea kuishi naye. Maswali yatajibiwa kwa potential wife through pm. Wasema hovyo wanaruhusiwa kuongea kuondoa stress zao. Ex wife anajijua, naomba...
1 Reactions
89 Replies
4K Views
Habari za leo wana JF, Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka asizidi 34, akiwa hana ama watoto ni sawa, wasizidi...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Hamjambo wanajukwaa hili? Nilikuwa nikipitapita wapi nitapata mpenzi; ndipo nimejikuta kutokea hapa JF (Love Connect) nikavutiwa napo naamini wengi waliopo hapa ni watu wasomi na waelewa pia...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
habari zénu leo niko nina feel so lonely naitaji kabinti kanako juwa ku make out kanitoe mawazo kesho week-end
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Msichana anayetaka kuolewa anicheki 0677287265 na miaka 25 . kabila lolote dini yeyote umri miaka mwisho 24 .mim ni mtumixh wa kuajiliwa ktk sekta flani kama upo serious piga namba hiyo
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Seriously natafuta rafiki wa kike bila kujali dini, elimu, kabila nk So mdada uliye single tutafutane.
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi...!!! Mimi ni mvulana rijali kabisa na nimekuja mbele yenu wanajamvi kwa ajili ya kutafuta mpenzi simple kabisa na mwenye vigezo vifuatavyo..; 1:Awe na miaka 18 na...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nimeamua kuja jukwaani kutoa hitaji langu la moyo, kwa yeyote mwenye mapenzi ya dhati karibu sana, nipo mkoa wa Mwanza, ningefurahi kama ningepata mwanaume wa Mwanza...
11 Reactions
96 Replies
10K Views
Wasalaam wanajf! Kumekuwa na wimbi kubwa la watu kutafuta marafiki,wachumba na wenza mitandaoni kila kukicha. Hivyo ni vyema tukakumbushana mambo mbalimbali yanayojitokeza kabla,wakati na baada ya...
9 Reactions
32 Replies
9K Views
Ivi ni sahihi au sio sahihi wana ndoa kupeana salamu ya shikamoo?
0 Reactions
5 Replies
958 Views
Naitwa Dayana natafuta mchumba baadae awe mume nitamjaIi na kumheshimu awe mkristo mkatoliki nina miaka 24. Aliyetayari caII me 0629837251 thank you
5 Reactions
45 Replies
4K Views
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe...
16 Reactions
136 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…