Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
1 Nina miaka 31 2 Mjasiria mali 3 Mwanamke awe na umri wa kuanzia 21hadi 27 4 Mkristo 5 Mwenye maadili ya kiafrika kwa ufupi awe na tabia njema 6 Asiwe na mtoto 7 Asiwe mtumiaji wa mikorogo yani...
0 Reactions
3 Replies
831 Views
Mimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
11 Reactions
136 Replies
12K Views
Mimi ni msichana ni mwalimu niko Shyinyanga natafuta mchuba umri miak32_38 awe mkristo, am serious sipendi dharau wala kebehi, Mungu awabariki, mwenye nia ani PM.
3 Reactions
9 Replies
4K Views
Habar wana JF Natafuta girl alie na shida kama yang i mean natafuta mchumba miaka at least awe na 18=>23.... Mimi nina umri wa miaka 22 nina kaz inayoniingizia kipato alie tayar ani PM ni hayo 2.
0 Reactions
1 Replies
563 Views
Hello everyone, I am a woman who is looking for someone to start a friendship with a guy which could lead to other things. I am 31, I have 1 child. I have a PhD. I am down to earth and easy going...
12 Reactions
97 Replies
5K Views
Habari zenu wana JF, Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level. WASIFU WANGU Mimi nina umri wa miaka 31 Maji ya kunde Mkristu...
13 Reactions
85 Replies
13K Views
Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni
8 Reactions
160 Replies
22K Views
Habari zenu wadau, Nipo Tanga ni mfanyakazi.natafuta rafiki wa kike baadae aje kuwa mke . Umri wangu ni 35 Dini mkristo Sifa za ninaye mtaka. Mweusi Mrefu kiasi Awe mchapakazi na mbunifu hata kama...
0 Reactions
1 Replies
965 Views
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 32,ni mwalim kwa tauuluma elim yangu ni degree moja.Mwanamke awe mwislam akiwa din nyingne akubali kubadlisha din, Elim yake isiwe chin ya kdato cha nne na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 27 elimu yangu ni diploma ya ualimu na nimebahatika kuajiriwa serikalini shule moja iliyo apa mkoni singida natafuta mwanamke ambae atakuwa tayar kuolewa na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini za jioni hii wana jamii Forum. Natafuta rafiki wa kike wa kuchat naye, kushauriana mambo ya maisha, pamoja na kubadilishana mawazo, sifa awe anaishi Mwanza, umri chini ya miaka 23. Mimi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za leo wana JF, Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka asizidi 34, akiwa hana ama ana mtoto ni sawa. Mimi ni...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Hello, hope mko poa wana JF, Am looking for girl friend who is residing here in Dar. Age should be btn 25 and 30 inclusive, Christian na awe angalau mrembo wa kawaida na awe mrefu. Personally...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hello wana JF, Naitwa Salehe Jafary natafuta mke mwema wa kuanza nae maisha, elimu, dini sichagui ili mradi awe mwenyeji au anapenda kuishi Mwanza, Simiyu. Umri miaka 19 hadi 25. Aliyetayari...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarini za asubuhi wandugu, Kwa yeyote mwenye hitaji kama langu naomba tuwasiliane pm. Mimi ni Ke age btn 26 -28. Nipo Dar kabila mchaga dini christian. Mwanaume ninayemtaka awe na age at least...
10 Reactions
147 Replies
16K Views
HABARI WANA JF NAJITOKEZA KWA MARA YA KWANZA KUTAFUTA MKE WA KUO. JINA:Erickson UMRI: Miaka 31, KABILA: mkonongo, DINI: Mkristu, NCHI NAYOISHI:Tanzania, UREFU : FT5.6, RANGI : Mweusi, ELIMU: Chuo...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Awe msichana wa miaka 18-24, awe msomi walau kuanzia kidato cha sita, mcha Mungu na mwembamba,maji ya kunde au mweupe, na Mwenye mapenzi ya kweli na Mwenye mtazamo chanya wa maendeleo. Mi ni...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
habari wakuu mimi ni kijana wa kiume natafuta mchumba wenye mapenzi ya kweli awe kamaliza kidato cha nne au darasa la saba mimi ni mjasiriamali kipato cha ni cha kawaida tu mwanamke ninaye mtaka...
0 Reactions
2 Replies
943 Views
Natumai mu wazima wanafamilia wa JF, Nipo apa kuandika Uzi huu kwaajili ya kumtafuta rafiki wa kike, atakaekuwa mpenz wangu, mchumba na baaadae tuje kufunga ndoa na kuishi pamoja kama mume na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…