Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta aliye tayari kuolewa ila siwezi kukuoa leo, lazima nikufahamu zaidi na wewe unifahamu. Baada ya kila mtu kuridhika ndio tupange mikakati ya harusi. Kiukweli mimi nina miaka 25 ila kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana MMU... jukwaa pendwa kabisa naimani wote ni wazima kabisa napenda niende kwenye mada moja kwa moja Tangu mwaka uanze nimetongoza mara 4 lakini zote nimeishia kupigwa za...
5 Reactions
96 Replies
7K Views
Hodi wanaJF, Trending news ni Makonda na vita thidi ya madawa ya kulevya, naunga mkono mapambano hayo, lakini naendelea na ratiba yangu ambayo leo ndio siku yangu rasmi ya kutangaza nia ya...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
#Respect to ALL JF Members# #More Respect to ALL JF Ladies......Married and Unmarried Ladies, Single Moms and Single Ladies# The intention of this thread to tell you that I am looking for a...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za kutwa wana jf . Natafuta mwanamke wa kuanza nae mahusiano ya kimapenzi. Kwa mimi binafsi nimejiajili na ninge penda na yeye akawa ameajiriwa au amejiajili pia sio mbaya akiwa anasoma...
1 Reactions
3 Replies
975 Views
Habari za leo wana JF Najitokeza mbele yenu ili kuweka wazi yaliyo moyoni mwangu. Sifa zangu ni kama ifuatavyo:- - Umri miaka 43 - Elimu ya chuo kikuu - Mkristo aliyeokoka - Nina watoto 3 ambao...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Jamani leo na mimi nijaribu bahati yangu humu jukwaani, labda naweza vua samaki kwenye shamba la miwa, upweke huu! Mh! Kwa mlio zoea matusi na kejeli wala sivihitaji, mpite mkinyata kimya kimya...
1 Reactions
124 Replies
12K Views
Nilikuja hapa jukwaani kutafuta mchumba, nawashukuru wote mlioonyesha ushirikiano nami kwa namna yoyote ile. Pia napenda niwashukuru wote mlioniletea kejeli na matusi yote. Asanteni sana...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Closed
Topic closed
3 Reactions
56 Replies
4K Views
Umri wangu 32, dini muislam, elimu yangu shahada ya uzamiri, mimi ni mrefu. Nahitaji mchumba awe muislam mwenye kuitii dini, elimu awe na shahada kama ana kazi isiwe ya kwenda night. Asiwe mnene...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi nina miaka 27, muislam, nina bachelor degree natafuta mwanamke mwenye mapenzi ya kweli na yuko tayari kuolewa na awe na sifa zifuatazo awe muislam awe na umri wa miaka 18-30 awe anaishi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 natafuta msichana wa kuishi nae kama mke wangu hapo baadae awe na miaka 20 mpaka 26. Aliye serious tuwasiliane awe na shughuli ya kufanya.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Let us have funny #YOLO[emoji1][emoji1][emoji1][emoji132][emoji131]
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naitwa: agness Naishi: tanzania Kabila: msukuma Dini: mkristo(kkkt) Umri: 31 Familia: nina mtt 1 Mazungumzo zaidi njoo inbox SIFA ZA MUME...
5 Reactions
33 Replies
7K Views
Mimi ni single mum Natafuta mwanaume anayejielewa, mcha Mungu, mwenye shughuli ya kufanya. Mengineyo anicheki pm
12 Reactions
162 Replies
14K Views
Am a man turning 24years old later in this year. I am still a student at a certain institute here in Tanzania. And I think it is the right time for me to find the right woman to whom, we shall...
0 Reactions
1 Replies
743 Views
Habari! Naitwa Mahmoudy nipo Arusha, mimi ni mtumishi wa uma na kazi nafanyia Arusha, natafuta mchumba wa kiislamu awe na sifa zifuatazo; Umri 18-22 Elimu kuanzia Form 6 na kuendelea. Asiwe...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
MIMI NI MWANAUME MWENYE UMRI WA MIAKA 43,NINA NIA THABITI YA UKWELI KABISA NATAFUTA MKE WA KUOA!AWE MTU MZIMA KUANZIA MIAKA 40 NA KUENDELEA,KIGEZO KIKUBWA AWE MKWELI NA SIO MBABAISHAJI,HAWE MWENYE...
0 Reactions
29 Replies
9K Views
Mimi ninae mtaka Awe muwelewa Muislam Miaka 30/37 Awe ana uelewa wa Hali ya juu computer Awe ana swali Mtoto ikiwa anae sio tatizo Awe mstarabu Awe namapenzi ya Kweli Mimi nina miaka 38...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom