Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta mke, awe mwenye hofu ya Mungu, mimi ni Mkristo kwa hiyo akiwa Mkristo sio mbaya sana na awe mwenye maono ya Kimungu zaidi. Elimu yangu ni Shahada (Degree), ni mwalimu, nina miaka 31...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Mimi ni mdada mwenye miaka 26, elimu diploma ni mwajiriwa,nina mtoto, Natafuta mwenza anaejitambua na mwenye huitaji wa serious relationship; -Awe mkristo mwenye hofu ya Mungu...
4 Reactions
92 Replies
10K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 24, sijaoa, natafuta mpenzi niko Mbeya, awe na kazi yeyote ya kujikimu, awe mkristo wa dhehebu lolote, kabila lolote, umri wa chini yangu. Mungu akijaalia tuanzishe...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Ni Msichana mwenye umri wa miaka 28, mkristo, Elimu ya chuo nahitaji rafiki ambaye kama itampendeza Mungu awe mchumba kisha mme hadi kifo kitutenganishe awe Mkristo, kabila lolote awe mcha Mungu...
13 Reactions
99 Replies
10K Views
Mwanzo 2:18 'Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye'. Habarini za Leo wanafamilia wenzangu wa JF. Nimeanza kwa nukuu hiyo kutoka katika kitabu...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Asanteni sana wadada wote mlionesha nia ya kuwa na mm pm tokea jana, ila nadhani moyo wangu umeamua na umemdondokea mtoto mzuri mwenye jina la ua, asante uwaridi langu wa moyo, nadhani we can take...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Habari wana MMU bila shaka mmesherekea sikukuu ya Chrismass na Mwaka mpya vizuri na kwa amani,ingawa jana kundi la Panya Road limetikisa Mji maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam kama Sinza...
1 Reactions
53 Replies
5K Views
Mambo, mimi ni kijana wa miaka 31. Naishi dodoma. nimepanga na kuajiri. kwakweli natafuta mdada au mwanamke mwenye hela awe kama sponsor wangu katika mambo mbalimbali ila na mimi nimpe utamu...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
__________________________________________________ Siku moja jioni Rais Obama alimshauri mkewe wakale dinner mtaani huko Washington ktk mgahawa wowote wa watu wa kawaida. Wakakubaliana kisha...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Awe na elimu walau kidato cha nne mm ni muajiriwa serikalini nina mtoto 1mengne tutaongea tukishawasiliana 0745645518
1 Reactions
0 Replies
890 Views
Ni matumaini yangu kuwa mu wazima. Kwa Mara ya kwanza najitokeza kuandika Uzi huu special kwaajili ya kumtafuta msaidizi/mke/mchumba aliyeandaliwa kwaajili yangu. Mimi ni kijana wa miaka 26...
2 Reactions
30 Replies
9K Views
Sifa za mtafutaji, Jinsia : Me Umri : 24yrs Elimu : Chuo Kazi : Nimejiajiri Dini : RC Kabila : Sukuma Mahali ninapopatikana : Kanda ya ziwa Sifa za mtafutwaji, Jinsia : Ke Umri...
0 Reactions
0 Replies
587 Views
Tunamshukuru MUNGU,
1 Reactions
5 Replies
868 Views
Mimi ni mwanaume umri 35, natafuta rafiki wa kike ambae ni mpweke anyeishi Arusha kwa ajili ya kuchat na kubadilishana mawazo...awe na umri wakuanzia miaka 20 hadi 30...Kwa alitayari afadhali...
1 Reactions
1 Replies
965 Views
Ni mgeni sana katika mtandao huu maarufu, nimejitokeza leo nami nitupe huku karata yangu kutafuta mke wa kuoa, na hii ni baada ya kuona jamaa zangu kama watatu wamefanikiwa kupitia JF, umri...
6 Reactions
39 Replies
3K Views
kwa jina naitwa malamia kabila langu mchaga umri wangu miaka 35 mchapakazi sana elimu ya chuo sijawai kuolewa sijawai kuzaa naishi dodoma ila mwakani nitahamia dsm nimeajiriwa dini mkristo...
2 Reactions
40 Replies
4K Views
naitaji mwanaume wa kuanzisha familia kama nilivosema miaka yangu ni 35 elimu chuo kikuu dini mkiristo . mume nimtakae awe mtu mzima kama miaka 40 na kuendelea dini yoyote mawasiliano...
5 Reactions
119 Replies
10K Views
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nipo dar,nimeajiriwa na nnakazi nzuri tu.Natafuta mchumba aliye serious lengo,badae awe mke.vigezo_awe na hofu ya Mungu,(elimu)awe kafika chuo,awe ameajiriwa...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Wakati mwingine siyo lazima wote tuchangie kila mada. Unakuta mada ya mwanaume anatafuta mpenzi/ mchumba au mwanamke anatafuta mchumba na katika bandiko lake ameweka umri na vigezo. Wewe unajijua...
6 Reactions
0 Replies
578 Views
Am a girl..Nipo dar na Natamani kwenda beach kesho..anaehitaji let's go and have fun Awe cool na mstaarabu Cost ni juu yako Swry!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom