Hello JF,
Mimi ni kijana wa miaka 31, nina elimu ya chuo kikuu na nimeajiriwa na kampuni moja hapa jijini Dsm.
Ni mrefu wa wastani, mnene wa wastani, rangi maji ya kunde na mkristo. Natafuta...
nipo single natafuta wa kuanzia nae tarehe 14.2.2013 mpaka milele
awe mwanaume mkristo kuanzia miaka 38 na kuendelea kama yupo tayari anipm msg zote zitajibiwa
Hi wana jamii,
Mimi ni kijana niliyejiajiri, elimu yangu chuo kikuu, mkristo, umri wangu miaka 27. Natafuta rafiki wa kike aliye Moshi/Arusha umri 18 - 24, dini yeyote, ila awe mchangamfu. Awe...
Natafuta mchumba mstaarabu na anayaejielewa ambaye baadae baaada ya kufahamiana na kujuana tabia na misimamo tukiridhiana tuoane.
Vigezo ni tabia njema, sichagui umri wala kabila wala dini, mimi...
Wadau nashindwa Kupata Jawabu Kama Mapenzi NI Hisia Za Mtu Binafsi Kwanini Vijana Wakianzisha Mahusiano Na Wanawake wakubwa Inakuwa Gumzo?:rolleyes::mad::mad:
Lakini Vibabu Inakuwa Kawaida Tyuu...
Hi wakuu,
Nimejisikia mzigo moyoni kuwashirikisha wale wote ambao tunatafuta wenzi wetu wa maisha ni vema tukashiriki katika semina ya MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE ya KUPANDA NA KUVUNA
Tarehe...
Wadau
Nahitaji mchumba wa kike aliyetayari kuishi maisha ya ndoa mida mfupi baada ya kujuana (angalau miezi miwili ya kujuana). kikubwa awe na maadili ya kiislamu, umri angalau isizidi miaka 24...
Habari zenu Wana jf,
Natafuta marafiki( male and female) wa kushare nao ideas za kimaisha especially mambo ya kimaendeleo,
Mm ni msichana (25yrs)
Elimu yangu bachelor degree
Mjasiriamali
Naamin...
Wanabodi kheri ya mwaka Mpya 2017!!!!! Napenda kuwatangazia kuwa mwaka huu mungu akinijalia nitatoka katika maisha ya useja na kuanza maisha ya ndoa ila Sina mchumba hivyo naleta tangazo langu...
Habari zenu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, niko chuo kikuu kimojawapo hapa Tanzania, natafuta msichana ambaye yuko serious tukajuana kiundani ikiwezekana hadi kucheck afya then tukawa...
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 25, natafuta mchumba anayenizidi miaka mitano(5) na kuendelea. Sharti awe mkristo ( Mlutherani sitaki kuwachanganya watoto na pia nahitaji familia yangu iwe ya...
Hello,
I'm looking for a woman who isn't all about games and at-least has something going for herself. Someone who is respectful, has morals and values, someone that just basically is...
Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na...
Ni matumaini yangu kila mtu yuko poa.
Baada ya kukaa nikatafakari sana nimeona maisha ndo haya haya, wakati ndo huu. Hakuna sababu ya kusubiri sana.
Mimi ni kijana miaka 27.
Nina shahada ya...
Habarini zenu wana JF,
Kwa jina naitwa Langston, nimejitokeza hapa kwa lengo moja tu kubwa la kutafuta ubavu wangu, mi ni mwajiriwa naishi Dar maeneo ya Tabata, umri wangu ni 24 ni mweusi na...
Heri ya mwaka mpya ndg zangu.!Mimi naitaji rafiki au marafiki wa kushare ideas tofauti za kimaisha.for nina elimu ya chuo kikuu na pia ni muajiriwa ktk taasisi ya kifedha (bank).napenda kuwa na...
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 27 nahitaji mwanaume wa kuishi nae mimi, nipo serious, maelezo zaidi ni pm tuzungumze kuhusu dini, na kazi na ninapoishi, kejeli pembeni.
Sifa zangu:
RANGI=>maji ya kunde
MIAKA=>21Years
KAZI=>Miner
DINI=>Musilm
Sifa za anaehitajika:
RANGI~Awe mweupe,maji ya kunde au softblack sio darkblack
MIAKA~25kurudi nyuma
KAZI~Awe mchakarikaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.