Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajilriwa natafuta msichana wa kuoa anayejielewa awe na miaka 20-25, awe na shughuli halali inayomwingizia kipato.
Aliye tayari tuwasiliane pm
Nina miaka 27, nipo dar, nina bachelor degree,ni muislam
Sifa za mwanamke ninayemuhitaji
Awe muislam
Awe na umri miaka 18-30
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
Awe na upendo wa kweli
Kwa...
Habarini za sikukuu?
Mimi ni mwanaume wa Bara
Umri wangu 30 yrs
Ni mrefu mwembamba kiasi
Mweusi kidogo
Dini mkristo.
Elimu darasa la saba
Kazi yangu nimejiajiri na
Pia nimeajiri.
Nahitaji...
Si mara yangu ya kwanza kujitokeza hapa katika jukwaa hili.
Natafuta rafiki wa kike anayejitambua, awe matured kiakili na kimwili! napenda mtu mkweli mcha Mungu wa kweli, mwenye elimu ya kidato...
nahitaji mwanamke mkubwa kuliko mimi umri wangu ni miaka30 natafuta mwanamke kuanzia32 alie arusha mwenye kujiweza kiuchumi tasaidiana malengo afaham kuwa nna watoto wawili lengo ni maisha awe muislam
Hi ladies, nahitaji wife umri kati ya miaka 20-30, dini yoyote ile na kabila lolote, as long as npo JF most of my time, I hope hata wife nitapata hapa hapa JF.
+255621031241
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 28,sijashindwa kumpata mke huko mitaani ila watu waliopo humu ni walewale waliomo mitaani, tena unaweza kukuta unaumiza kichwa binti unayemuona mtaani kumbe hata...
HELLO'
Naanza kwa sifa, awe na umri usiozidi miaka 30, awe na umbo la kawaida tu but usiwe mnene, pia usiwe na watoto ulikwisha kuzaa.sio mweupe sana ila awe natural....uwe na kazi yoyote tu ili...
Habari JF Members,
Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa...
Umri wangu nini miaka 40.
Elimu:chuo.
Anatafutwa mke Umri kuanzia 30-40. Mwenye chini ya Umri huo asitume maombi. Sitaki kuwa na mwanamke
tegemezi.
Awe na kipato kisichopungua 3m kwa mwezi...
Nimekua single kwa muda mrefu nimechoka naitaji kupata mwenza anaejielewa
Mi ni ke nahitaji mwanaume kwanza aishi Kanda ya ziwa nimesema hivyo sababu mimi naishi Kanda ya ziwa.
Ni mrefu kiasi pia...
Habari zenu
Ni kijana wa miaka 24 anamtafuta that one lady,my queen,la'azizi kitulizo cha moyo wangu.baada ya kukaa mda mrefu bila mahusiano yoyote kutokana na maswahibu mbalimbali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.