Am a girl miaka 25 naishi Arusha.
Natafuta rafiki hapa Arusha ambaye anahitaji company kama mimi...nmejifungia ndani mpaka nahisi kuwa chizi...i need to get out there but sina mwenyeji...
Sio mtu...
Habari wanajamvi, natumai ni Wazima Mimi ni kijana nimeamua kujitokeza kutafuta mchumba ili badae aje kuwa mke, mwenye upendo wa dhati
Sifa zangu
-dini yangu muislam
-umri Miaka 30
- Kazi...
Habari ndugu zangu, pole kwa majukumu ya kila siku,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 27, ninatafuta mwanamke wa kuanzisha nae mahusiano kwa lengo kuja kuishi nae pamoja awe na umri wa...
Habari ya jioni wapendwa......
Ni matumaini yangu Hamjambo humu ndani, Mimi ninaitwa Nzory Mussa kutoka Tanga Tanzania...
Nimeingia hapa kwa lengo la kutafuta MARAFIKI ambao tutakuwa...
Kiukweli nimechoka na upweke na upweke unaniumiza sana,nipo hapa kutafuta mke awe mwenza wangu wa maisha mimi ni mwanaume wa miaka 48-55 mwanamke mwenye nia thabiti na mwenye ukweli karibu sana
Mimi ni binti wa miaka 25 elimu yangu ni form four, natafuta mchumba alie tayari kua kwenye mahusiano na baadae kua mume, sichagui dini wala kabila, ila awe mkweli.
Habari wa j4 kwamala ya kwanza najitokeza kuwatangazia natafuta mwanamke ambae nitabadilishana nae mawazo na mapenzi tutakapo itaji ila angalizo siitaji kuoa ila nitadumu nae kwenye uhusiano labda...
Katika hali isiyo ya kawaida mzee mwenye umri wa miaka 75, Athuman Mchambua, mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally jijini Dar es Salaam amezua gumzo mtaani baada ya kuamua kutafuta mke kwa kuweka bango...
Umofia kwenu,
Jamani nahitaji mwanamke ambae atakuwa tayari tuishi pamoja as soon as possible sifa zake.
1 Mweupe
2 Mwenye kamwili kidogo
3 Atleast awe na kazi anafanya asiwe wa kukaa home tu
4...
Mimi nahitaji mwanamke aliyeko serious kwa ajili ya kuoa, elimu yangu ni degree, umri ni 27yrs.
Sifa za mwanamke ninayemuhitaji
Awe muislam
Awe na elimu kuanzia form four
Awe na umri kuanzia...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 naelekea 27, kabila msukuma, dini mkiristo, elimu ya kawaida, kazi mjasiriamali.
Makazi kwa sasa niko kahama ila soon nitakuwa Dar. Mwanamke ninayemhitaji...
Wanawake ukweli ni kwamba hakuna mwanaume anayetaka kuwa na Six Packs ili a date na mwanamke mmoja tu.. Ukiona mwanaume ana Six Packs maana yake anataka kuvutia wanawake wengi..
Ungejua Kazi...
Am planning to have a self driving to Tanga via Bagamoyo, Saadan national park, Pangani final destination Tanga. It's a leisure trip , any single under23 girl please send me pm
Wajameni mimi huyu mtoto jinsi siku zinavyozidi kwenda ndio nazidi kumuwaza na ku-imagine vitu mbali mbali sijui nitampataje.
Pls!! usije dnt bring polits and hate posts in this thread lets enjoy...
Ni maisha niliyochagua, nataka niishi hivyoo.
Baada ya msichana wangu kugoma kuzaa bila kuoana, sasa nimeamua kuachana na suala linaloitwa ndoa. Ni Mkataba wa miaka 3.
Nataka mwanamke wa kuzaa...
Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajilriwa natafuta msichana wa kuoa anayejielewa awe na miaka 20-28 awe na shughuli inayomwingizia kipato aliye tayari tuwasiliane pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.