Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta mume ambae yuko serious ani pm Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza Mkristu na anaemuogopa Mungu Ila...
12 Reactions
142 Replies
12K Views
Naitwa john Rusaku Nina miaka 27, Napenda sana maisha ya ndoa,mwenyezi mungu alinijalia nikapata kazi serikalini,ila wanawake wote walionipenda walikuja wakiwa kimasilahi maana...
0 Reactions
3 Replies
881 Views
Christian girl age U24 to marry, regardless tribal, race, height, and location but slim and committed. don't PM just text via 0783 745 260. I am 27 slightly black and slim tall, lives and working...
0 Reactions
5 Replies
840 Views
Nina umri wa miaka 31,natafuta mwanake wa kujenga familia kama mke na mme.sifa awe na umri Kuanzia miaka 22_28,awe mrefu,mcha Mungu pia awe na uhitaji was kuolewa. Alie tayari anichek pm.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
[SIZE=3]Nimekaa nimewaza sana jinsi ya kumpata wa kuyajenga nae maisha na mengineo nikaona hapa ndo mahali pake, Haya ni PM basi uje tuyajenge wote pengine tunaeza endana tukafikia lengo.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau wa jukwaa hili napenda kujua machache kwa wale waliopata wenza wao kupitia jukwaa hili! Ulimpata ambaye alikidhi vigezo vyako vyote au uliamua kukubaliana kwa kuwa ameonesha nia? Kwa...
4 Reactions
4 Replies
851 Views
Katika vitu ambacho sitakuja kujaribu ni kushika na kuangalia simu ya mpenzi wangu wala yeye haruhusiwi kishika yangu..Maana spendi matatizo naskia karbia kila siku watu wanalia kuhusu simu za...
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 30. Nimehitimu elimu ya Chuo Kikuu ngazi ya Uzamili. Kazi ni Mhadhiri na ninaishi Mwanza. Wana JF, natafuta mchumba mwenye umri usiozidi miaka 30 na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa kiume, nipo single, nimeajiriwa serikalini. Nina miaka 33. Natafuta mke. Awe na umri chini ya miaka 35. Sichagui dini. Kwa yeyote atakaekuwa tayari tuwasiliane 0689027050
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Kazi yangu ni mfanyabiashara wa kawaida. Naishi DSM. Nahitaji mwanamke mwenye umri tajwa hapo juu. Mwanzo nilikuja na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hello, Natumaini wote mko salama kabisa, husika na kichwa cha habari hapo juu Naitwa Mohamed, naishi Ilala Ukonga, umri miaka 29. Elimu yangu ni ya shahada ya kwanza, nafanya kazi katika kampuni...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Kijana wa miaka 26 nipo Mbeya natafuta mke wa kuoa, kabila lolote asizidi elimu ya kidato cha 6 mengine tutayajadili, nitext au WhatsApp yangu 0759201441 Asante.
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Natafuta mchumba wa Kiislam, umri usio zidi miaka 22, awe mzuri na mwenye kujitambua, elimu nataka kuanzia form Six na kuendelea, nataka anaeendelea kusoma au aliyeajiliwa au aliye jiajili, kama...
2 Reactions
2 Replies
871 Views
Nina miaka 28, nimeokoka natafuta mke tutakayekubali kuishi pamoja. Umri kuanzia 22-26, elimu atleast form Six and above, awe mkristo na aliyeokoka. Ni PM kama utakuwa tayari Kukejeli si kuzuri...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari, Naitwa Brian, mwanaume, ni mwalimu wa Sekondari nipo Dar, miaka 31, natafuta mchumba (Mwanamke) na awe Mkristo (RC) au dhehebu lolote, awe Mcha Mungu na asiwe mtu wa mambo mengi (mambo...
0 Reactions
2 Replies
623 Views
Natafta mrembo aliye tayari kunizalia mtoto. Nita toa huduma zote wakati wa ujauzito wake adi malezi na makuzi ya mtoto. Sifa:1.Awe ni mtumishi wa serikali 2.Awe mkristo...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Mimi ni mwanamke wa kiislam natafuta mume wa kiislam tu Miaka yangu ni 30-35 Mume naemtaka awe 35-40 Awe mchapa kazi mwenye kujishughulisha na maendeleo Awe mtu wa dini asipende zinaa wala shirk...
12 Reactions
66 Replies
8K Views
Awe muislamu, awe na hofu ya mungu. mengine yote tukutane PM
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu jamani, Natafuta mke wa kuoa awe angalau na sifa zifuatazo; 1. Awe na nia ya dhati ya kuwa married na sio tu kwa sababu shost zake wameolewa. 2. Umri kuanzia miaka 20 hadi 27 tu. 3...
2 Reactions
0 Replies
741 Views
Hivi wale wenye ID tulizozoea ndio kusema hawana shida ya wachumba au ndio hawa wanakuja kivingine? Mimi siku nikiona old ID kama ya miss chagga atoto Valentina zinatafuta mchumba nachangamkia...
7 Reactions
110 Replies
5K Views
Back
Top Bottom