Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi nina umri wa miaka 35 na ndiyo niko kwenye Ujasiliamali. Muda wangu sasa wa kuwa na mke naona kuwa ndiyo huu hapa. Sijawahi kuwa na mwanamke kabla. Hivyo kwa sasa ninamuhitaji niwe naye...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, Katika tafiti zangu za kuangalia jukwaa hili kila siku na thread zinazofunguliwa nimekuja kugundua kuna uwezekano mkubwa wa mwanamke kupata mwenza wake kuliko kwa mwanaume. Hii ni...
0 Reactions
3 Replies
775 Views
Hamjambo wanaJF, NIko na rafiki yangu mwanamme toka Mombasa anatafuta mwanamke mwenye yuko serious kuolewa na awe amesoma atleast awe na elimu ya form 4 Kenya ama Form 6 Tz.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Moneytrolly here Natafuta girlfriend Mkoa Wa mbeya. Elimu kwanzia diploma+ .., Pm please
0 Reactions
3 Replies
747 Views
Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajilriwa natafuta msichana wa kuoa anayejielewa awe na miaka 23-28 awe na shughuli inayomwingizia kipato aliye tayari tuwasiliane pm.
0 Reactions
3 Replies
812 Views
WanaJF, Hivi kweli nyinyi mnaotafuta wachumba kupitia humu JF uwa mnawapata? Maana mimi naona sipati japo ninatafuta. Au wanaotafuta wanakuwa wanafanya mzahamzaha wakati sisi tulio serious...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta rafiki wa kike, tuweze kuongea na kubadilishana naye mawazo wa maswala ya kila siku yanayotokea duniani. Awe kwanzia umri wa miaka 21 na kuendelea. Kikubwa ni mtu wa kuwa na maongezi...
0 Reactions
6 Replies
929 Views
hey
3 Reactions
34 Replies
7K Views
Mimi nina mke lakini kuna vitu navikosa navihitaji toka nje. Nahitaji mwanamke atakayeelewa kuwa mimi nina mke na atakayeelewa mipaka yetu. Mahusiano yetu yatakuwa ya kimapenzi na kushirikiana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi ladies and gents, boys and girls Well let me be open Wapenzi natafuta mpenzi ila awe nje ya africa, my dreams was kuolewa na kuishi nje, Mwanaume serious umri kuanzia miaka 35 mpka 69, Ni...
4 Reactions
120 Replies
10K Views
Sifa - Si zaidi ya miaka 40 - Mkristo, mlokole atapewa kipaumbele - Awe na kipato halali, anajitegemea. - Elimu si chini ya form 4 Mimi sina uwezo wa kuzaa na nimejiajiri. Karibu tufarijiane! Kwa...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Mimi ni mwanaume mwenye 30s nina elimu ya kutosha na hela ya kula siyo tatizo. Natafuta mwanamke mtu mzima awe anajitambua. Awe flexible ninapomhitaji awe tayari. Awe mrembo na awe anaishi mkoa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi ni kijana nina miaka 27 npo Dodoma ni mfanyabiashara wa kawaida natafuta mwanamke wa kweli wa kuoa mwenye mapenz ya kweli maana nmekuwa na wanawake ambao wameumiza sana moyo wangu kwa kipind...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Wakuu, Tunaomba wale ambao waliweka thread ya kutafuta wake, waume na wapenzi humu watuletee mrejesho kama wamefanikiwa na wanaendeleaje.
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 24 ndo niko mwaka wa mwisho kati ya vyuo vikuu hapa Tanzania, Nahitaji rafiki wa kike na atakaye kuwa tayari tuanzishe familia kadri MUNGU atakapozidi kutupa uzima...
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Mimi ni kijana, 28 yrs of age natafuta mchumba wa kike mwenye umri wa miaka 20-30. Niko Sirari mkoani Mara. Aliye tayari anipm kwa maelezo zaidi
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 24 ndo niko mwaka wa mwisho kati ya vyuo vikuu hapa Tanzania, Nahitaji rafiki wa kike na atakaye kuwa tayari tuanzishe familia kadri MUNGU atakapozidi kutupa uzima...
0 Reactions
0 Replies
555 Views
Nina umri wa miaka 27 npo Dodoma n mfanyabiashara natafuta mwanamke wa kuoa mwenye mapenzi ya kweli maana nmekuwa na wanawake ambao hawana mapenzi ya dhati wameniumiza sana kiukwel haijalishi umri...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wasifu wangu; Age 30, Elimu chuo kikuu, kazi - nimeajiriwa, niko Dar, Sifa za mchumba wa kike; Age 22 and above. Sina ubaguzi wa kabila, dini , etc. Cha msingi upendo wa dhati. Njoo PM mchumba...
0 Reactions
1 Replies
582 Views
Back
Top Bottom