Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari zeni wakuu, natumani hamjambo na mkiendelea na maisha kwa rehema ya mungu wetu. Nina miaka 27, sina mtoto, niko chuo mwaka wa mwisho( 1st degree),nataka kuwa mmke, kama kuna yeyote...
13 Reactions
116 Replies
13K Views
Kichwa cha post chajieleza. Nipo kigoma kikazi Na nitakuwepo takribani miezi mitatu,naomba kampani yako ewe mdada. Tafadhali atakae kuwa interested karibu pm.tuzungumze.
0 Reactions
3 Replies
718 Views
Heshima kwenu ndugu zangu. Natafuta "MKE" sio mwanamke......kwa sababu wanawake wapo wengi lakini ambao wanafaa kuwa "MKE" ni wachache sana. Kuwa mwanamke haimaanishi kuwa wewe unafaa kuwa "MKE"...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Aliye tayari ani pm tuongee mengi namba ya simu pia itakuwa vizuri tuwasiliane kwa haraka zaidi.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Umri:20-26 Elimu: Shahada Asiwe na mtoto, Awe mkiristo Mwembamba; maji ya kunde au mweupe. Mrefu wastani Sifa zangu Umri 27, elimu yangu ni shahada, maji ya kunde, mkiristo, Nina hofu ya Mungu...
0 Reactions
16 Replies
955 Views
Tafadhali heshima izingatiwe kwa anaye comment so kama huwezi ku comment pita kwa heshima.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mke awe mwalimu nurse au mjasiriamali, mimi naishi Dar lakini kwa sasa nipo Kampala kikazi. Mimi ni mechanics umri miaka 20_25.
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Amani iwe nanyi. Natafuta mdada wa kuchati naye na kubadilishana mawazo, nimeajiriwa katika sekta binafsi na kwa sasa niko Kanda ya ziwa.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama wewe unajiamini ni mrembo huna makuu zingatia sifa hizi -usiwe maneno mengi -usiwe mlevi wa kuchart -km unamagroup ya watsap hakikisha nakuwa member -Lazima uwe na mtoto (mmoja tu) na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu wanajamiiforum heshima kwenu wakuu. mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 natafuta mke mwenye ajira yoyote inayomwingizia kipato ili nishilikiane nae kujikwamua kiuchumi, binafsi nipo...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Wasifu wangu; Age 30,Elimu chuo kikuu, kazi - nimeajiriwa, nipo Dar, Sifa za mchumba wa kike Age 22 and above. Sina ubaguzi wa kabila, dini , etc. Cha msingi upendo wa dhati. Njoo PM mchumba...
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Mimi ni kijana wa miaka 25 urefu1.8 meter na ni maji ya kunde pia ni mwajiriwa serikalini, natafuta mke wa kuanza nae maisha mwenye umri kati ya miaka 20-25, dini yoyote ile awe mzuri wa kuvutia...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta Marafiki wa kike wa kuchat nao aliyeko intrested ani cheki Pm
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ni dhamila ya kweli. Nahitaji kupata mke kutoka humuhumu JF. Awe chini ya miaka 30 maana mimi nina miaka 33. Mwenye dhamila ya kweli kama mimi, tafadhali tuwasiliane kwenye namba 0717938489...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi ni mdada, miaka 30 nashukuru Mungu nimeajiriwa serikalini, si mrefu simfupi maji ya kunde . Nina tatizo la uzazi Natafuta mume mwenye sifa zifwatazo. _tatizo. La uzazi, _Umri 30 _40...
4 Reactions
34 Replies
5K Views
Natafuta mrembo humu JF,tusomane kwa miezi 6 kwanza. 1.Bill ya nyumba alipe miezi 3 na Mimi nitalipa miezi 3 jumla miezi 6 ya kujifunzana tabia. Tukikoleana tufunge harusi. Nimechoka kuishi...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Natafuta mchumba mwanamke awe mkristo mwenye umri kata ya miaka 20-23 umri Wang 25yrs tuwasiliane atakayekuwa tyr mm muajiliwa serikalini 0745645518
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni msichana wamiaka 32 mkazi wa Arusha, natafuta mtu ambae yuko teyari kuingia kwenye seriously relationship now, I'm in Dar for a month kama unaitaji njoo inbox.
4 Reactions
24 Replies
4K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 28 nafanya kazi sirari mkoa wa mara.Natafuta mchumba wa kike 18-25 wa kuoa hata kesho ila sijatahiriwa. Aliye tayari anipm.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta mchumba ambaye atakuwa mke wangu wa maisha siku si nyingi.. Sifa zangu 1.Mrefu. 2.Maji ya kunde. 3.Mwili wa wastani. 4.Mkristo. 5.Mfanyabiashara sifa zake 1.Mrefu, 2.Maji ya kunde au...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Back
Top Bottom