Wasifu wangu.
Elimu:nina shahada ya kwanza, umri wangu miaka 29.
Nahitaji msichana kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea.
Sichagui dini wala kabila wala kiwango cha elimu,muhimu awe na mapenzi ya...
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28, nafanya kazi Sirari mkoa wa Mara. Natafuta mchumba wa kuoa hata kesho,awe na umri wa miaka 18-25 ila sijatahiriwa.
Aliyetayari ani pm tupeane...
Nimechoshwa Na Upweke, Nimechoka Kutapeliwa, Naomba Nifunguke Kwako Juu Ya Moyo Wangu Japo Sina Mali Japo Sina Mahari Na Sijapata Mpenzi.
Kuhusu Maisha Yangu... Mimi Sina Ajira Yoyote Zaidi Ya...
Kama wewe ni msichana na unapenda kufurahi..,unapenda utani ila sio ulioptiliza waweza nicheki sijali umri wala dini wala kabila ila pia fahamu mimi single...
Habari za saa hivi wanaJF,
Let me go straight to my point, mimi ni msichana single 25 this year, napenda sana kusafiri kuliko maelezo, yani for leisure na adventure kipato changu ni cha kawaida...
Mimi ni kijana 27 years of age. Turning 28 next year January 15th. Ni mtu na kazi yangu na nina elimu ya Degree. Nimezaliwa na kusoma Kenya na kazi pia nafanyia huku. Sasa nataka kuoa msichana wa...
Mimi nilishawahi kuweka tangazo humu la kutafuta mke lakini sijampata aliyekua na vigezo.
Mimi nahitaji mwanamke wa kuoa, umri wangu 26yrs, muislam elimu yangu ni nina bachelor degree.
Mwanamke...
Kama wewe unajiamini ni mrembo huna makuu zingatia sifa hizi
-usiwe maneno mengi
-usiwe mlevi wa kuchart
-km unamagroup ya watsap hakikisha nakuwa member
-Lazima uwe na mtoto (mmoja tu) na...
Mimi Ni mume wa mtu,mke wangu yupo nje ya nchi kimasomo.
Natafuta mwanamke wa kunipa kampani wakati huu wa upweke mpaka pale wife atakaporudi....
Awe na sifa zifuatazo:
1. Miaka 20 hadi 34
2...
Wasifu wangu
Age 30,Elimu chuo kikuu, kazi - nimeajiriwa, nko dar,
Sifa za mchumba wa kike
Age 22 and above. Sina ubaguzi wa kabila, dini , etc. Cha msingi upendo wa dhati.
Njoo PM mchumba tuyajenge
Mm ni kijana wa miaka 29 nahitaji mchumba ambae nitamuoa na awe tayari kuanza maisha na Mimi awe mweupe au maji ya kunde miaka 20-24, awe mkristo ila kabila lolote aliye taysri anicheki 0766971149...
Mambo?
Mi ni msichana mwenye umri wa miaka 27
Nimeajiriwa serikalini
Nipo mkoa wa Mtwara
Nahitaji mchumba
Awe ameajiriwa au amejiajiri.
Awe mkristo
Miaka kuanzia 28-35
Awe mrefu kiasi.
Asiwe na...
Mimi ni kijana mwenye miaka 27 mwislam,nipo Kanda ya ziwa, natafuta msichana mwenye akili ya maisha, haijalishi mkoa gani yupo,
umri chini ya 27 au 27
dini sio kigezo sana,
elimu sio kigezo piah...
Natafuta Mchumba wa kike aliye serious.
Umri wangu ni miaka 29 Mkristo nimeokoka, Nina ishi DSM na ni mfanya biashara.Msichana naye mtafuta awe na umri si zaidi ya miaka 28, awe mwenye kumuogopa...
Naomba nitoe pongezi kwa uongozi wa JamiiForums kwa kuanzisha hii platform ya mahusiano. Niliwahi kutoa thread yangu hapa kuwa natafuta mchumba/ baadae awe mke wangu. Zilikuaja PM kibao lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.