Wadau natafuta Rafiki wa kike wakubadilishana mawazo pia awe Smart pia msomi kiasi kwa kuwa na min bado nasoma kuanzia 18-22 pia awe anahofu ya Mungu mwenye kujielewa nin anafanya,awe mweupe kiasi...
Am in desperate need of a cute girl aged between 22 to 26 who is employed or have an economic activity enganged in to marry me.am a man aged 35 with a permanent employment,Am a very smart lad, not...
Mim ni kijana wa umri wa miaka 26 natafta mchumba wa kuoa awe na umri kuanzia 23-26 awe tayar kupima,kuhusu ajira tutaelezana na pia dini yangu mkristo,tafadhali sipendi usumbufu kama hauko...
Habari,
Nimepata recommendation ya kujaribu JF ili kutafuta rafiki wa kike.
Mimi ni kijana, mwenye wa kadri ya miaka 30, nafanya kazi Dar, na nitapendelea kupata msichana/mwanamke anayejielewa...
Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.
Na awe tayari kunipenda na awe...
Hi people
My name is Getrude am 27 years old living in dar. Am writing this post so as to search for my soulmate whom we are going to spend the rest of our lives together.
Please all men with...
Am Josephina from Dar es salaam, nimeajiriwa, nina miaka 33, msomi mwenye elimu ya chuo kikuu, mwembamba sio mrefu sana wala mfupi ni wa wastani, chocolate colour nimeokoka nampenda Yesu hivyo...
Am Josephina from Dar es salaam, nimeajiriwa, nina miaka 33, msomi mwenye elimu ya chuo kikuu, mwembamba sio mrefu sana wala mfupi ni wa wastani, chocolate colour nimeokoka nampenda Yesu hivyo...
Natafuta msichana mrembo nitakaezaa nae mtoto mmoja ...... maslai ni kama ifwatavyo
1. Katika kipindi cha miezi tisa ya ujauzito nitamlipa sh 10000 kwa siku sawa na laki 300,000 kwa mwezi hadi...
Salamu!
Kila mtu ana mapungufu yake na kuwa na mapungufu hayo kusimzuie kupata faraja na upendo. mimi ni mwanamke, nahitaji mwanaume ambaye MUNGU akipenda baada ya kufahamiana tuwe mume na mke...
Hi !
jaman natafuta mpenz umri wowote kikubwa 2pendane
Mm ni mama wa mtoto mmoja umri wangu ni 23 ninaish na baba wa mtoto lakn c ndoa rasmi
Aliyetayar ani pm ili kujuana zaidi
Ninajitolea mbegu za kiume kwa mwanamke ambaye anahitaji mtoto na mumewe/mpenzi wake hana uwezo wa kutunga mimba. Mwenye kuhitaji awe tayari tupime afya kwanza. Nitafute inbox for more info.
You are the one am looking for.
A lady with the age of 25 and not above 35, A Christian, Went to school preferably Degree Holder, Self employed or employed somewhere...
I am Tanzanian Man of 34...
DHAMIRA
kukutafuta wewe dada tuliyeonanana dodoma
NIA
tuwe marafiki na kusaidiana katika maisha
SIKU
tarehe 30/7/2016, saa 5 hadi saa 7
ENEO
katika internet cafe iliyoupande wa magharibi mwa...
Wasifu wangu
Age 32,Elimu chuo kikuu, kazi - nimejiajiri, nko dar,
Sifa za mchumba wa kike
Age 28 and above. Sina ubaguzi wa kabila, dini , etc. Cha msingi upendo wa dhati.
Njoo PM mchumba...
Mimi ni msichana wa miaka 26, elimu yangu ni shahada moja, sifanyi kazi ni mwembamba,maji ya kunde,mkristo.
Natafuta mme msomi at least degree,mwenye hofu ya Mungu,mwenye kazi ya maana,mkristo...
Hi
I am a man aged 23 years old. I am a Tanzanian. I am still attending my studies at a certain institute here at DSM. Am here looking for any single girl with the equivalent age as stated...
Mimi ni msichana,umri wangu ni miaka 25,nafanya kazi shirika binafsi, elimu yangu ni chuo kikuu, natafuta mchumba sijagui kabila wala rangi,awe na umri kuanzia miaka 28-33,elimu chuo kikuu,pm please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.