Nadhani topic iko wazi mimi ni mzanzibar mwenye asili kiarabu miaka yangu 37 nina mke moja elimu form four kazi fundi wa simu nimrefu maji wa kunde mnene kidogo.
Sifa za mke ninae mtaka ni awe...
Wanajamii Foram mimi nina mke ni mjamzito wa miezi nane, sasa huyu mwanamke kabla hajawa mjamzito n mvivu sana na anadeka kupitiliza yaani inakuwa kero mpaka nikienda kazini natamani nisirudi home...
Mimi nimtu mzima miaka yangu 37 ninamke na Zanzibar elimu form four kazi fundi wa simu, ninahitaji mke huko mainland au Tanzania bara awe muislam ana swali bila kuhimizwa, awe mrefu mwembamba...
Nina miaka 29.. Natafuta Mume aliye serious na mwenye hofu na Mungu ..awe Mkristo umri kuanzia miaka 30-35.
Sipo kwaajili ya kujaribiwa...kazi yoyote ili mradi iwe halali.
Aliye tayari anipm.
Wakuu nawasalimu,
Mimi ni mwanaume ambaye nimekata tamaa. Maisha ya kuwa single yamenichosha na kila nikitafuta mpenzi hakai sana bali ananiacha na kwenda zako. Nipo vizuri kustahili kupata...
Ninahitaji mke aliye serious mm ni mwajiriwa serikali elimu yake kuanzia form 4 na kuendelea awe tayari kupima afya awe mkristo atokee Mkoa wowote kabila lolote awe na umri wa miaka 18-23umri...
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 47. Nina watoto watatu. Ninaishi Dar es Salaam.
Ninahitaji kumpata mwanamume ambaye ana mapenzi ya dhati hasa uaminifu. Sihitaji kuolewa au niseme kuishi na...
Wakuu,
Mtakumbuka hivi juzi nilipost uzi kuwa namtafuta Eva wangu. Mungu sio Juma Nature, nimepata!! Nilikuwa creative kwenye Post yangu ili nistand out, nisijumuishwe kwenye wahuni wanaotafuta...
Mimi ni mtanzania niliyobahatika kuwa mwajiriwa wa serikalini nahitaji mwenza wa kuoana nae kuanzia miaka 18 - 40 sibagui dini wala kabila aliyetayari awetayari kupima VVU, naomba aliyetayari anipm.
Habari wana JamiiForums,
Leo nimeamua kujitokeza kwenu kutafuta mchumba wa kiume (mume). Mwanaume nimtakaye ni awe na miaka kuanzia 30 mpaka 35 awe anaishi mkoani Kilimanjaro au Arusha, awe...
Kuna wimbo nilishawahi kusikia mwana jf anauulizia unaosema ""sina demu, kama unavyoniona mpz ndio maana ninekuchagua wewe malkia wangu.. Sio kwamba mimi sitaki demu ila sijamwona mwenye sifa na...
Ndugu zanguni wanaJF najitokeza hapa kwa Mara nyingine!
Mm natafta mchumba/ mke, Elimu yangu ni degree na nina miaka 29. Kwa sasa nipo mtaani nahangaika na maisha, sijaajiriwa ila sijachoka bado...
Kwa ufupi kabisa, natafuta girl anayefanya kazi Dar city centre na anatumia public transport. Awe kati ya 20 to 26 years old, asiwe mnene au mfupi. Nahitaji kampani yake kwenye foleni za jiji hili...
Mimi ni msichana wa miaka 24 nipo chuo kwa sasa, natafuta mchumba awe na kazi yake ila siyo mwalimu asiwe mfupi wala mrefu mengine tutawasiliana baada ya kufahamiana.
Karibu PM
SIFA ZAKE:Awe na umri kati ya 18------24,anaejitambua
BINAFSI:mm ni mwanachuo na mjasiliamali
MWONEKANO:mref ,rang brown af slim kiaina.
Yoyote mwenye sifa hizo anakaribishwa
Ncheki kptia...
Wadau habari zenu,
Natafuta mchumba ili baadae aje awe mke, awe na umri wa miaka 22-27, awe angalau amemaliza form 4 (sababu hapa ni kuwa huyu pamoja na kuwa mchumba/mke atakuwa mshauri wangu au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.