Ndugu wana JF, Natafuta mke mwenye moyo wa kumpenda Yesu si kwa kuigiza, ili aje anilelee watoto vizuri .maana ktk malezi, mama ndo kilakitu kwakweli.
Dondoo:
Nina miaka 30, ni mtumishi wa umma...
Habari wana jamvi
Naona imefika wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha ila Kigezo kikubwa ni awe Mwalimu hasa Sayansi na Hisabati..
Kipaumbele cha serikali sasa ni Sayansi na Hisabati.. Sitaki...
Wana JF, mimi ni mwanadada na leo nimeona nijitoe muhanga kabisa maana ninahitaji mume/mchumba. Niko tayari kupokea kukosolewa ila kwa yule aliyeko kwenye shinda kama yangu tafadhali ni PM.
Mimi...
Anatafutwa mchumba anaeishi na virus vya ukimwi.alie series na mwenye hofu ya mungu.BINTI anaetafuta mchumba ana umri wa miaka 24.kwa alie na utayari aje inbox kwa maelezo zaidi
Hellow,
Mimi ni mdada 26 yrs, elimu yangu ni degree na nimeajiriwa, nahitaji mwanaume ambaye naweza kuanzisha mahusiano na tukafika somewhere, awe na umri 29-34, awe anajielewa, mkristo, elimu...
Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa...
Mimi ni msichana mwenye umri wa Miaka 25. Nimeajiriwa na npo Dar. Natafuta mwanaume aliye serious kuwa na mimi.
Vigezo:
Awe muislam
Mkazi wa Dar.
Aliyejiajiri or aliyeajiriwa.
Umri 27_30.
Kabila...
Nina miaka 28,
Mkritu,
Sina kazi,
Elimu yangu form 4,
Natafuta mchumba awe mkritu,
Atakaeweza kunitunza nami nimtunze,
Miaka 30-35.
Kama uko tayari ni pm.
Sawa na kichwa cha habari hapo juu.
Mimi ni mmama mtu mzima (40-50) natafuta mbaba mtu mzima asiye na mke (aliyeachika au kufiwa) tujadili tuone kama tunaweza kuyasongesha.
Awe kuanzia miaka...
Mimi ni msichana wa miaka 25, mrefu, mweupe, mkristo, sina mtoto ni degree holder na kwa sasa nimeajiriwa, natafuta rafiki wa kiume ambaye baadae tunaweza kuwa mume/mke kama itafaa. vigezi vyangu...
Mimi ni mdada mwenye miaka 31, Mkristo, na nimwajiriwa. Elimu yangu ni shahada. Nahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia, umri kuanzia 31 kwenda juu, njoo pm.
Habari wana JF.
Wapendwa mwaka jana nilitoa uzi wa kutafuta mchumba, na nashukuru Mungu walijitokeza wengi wenye na wasio na vigezo, wengine waume za watu(wonders never seize)
Nilifanikiwa...
Hakika naona ndugu zangu mmejisahau sana. Wakati majukwaa mengine wakiendelea kupiga kelele kuombwa jeshi la police wamwachie mkurugenzi mtendaji wa Jf, hapa watu wanaendelea kukomaa na ishu...
Habari ya asubuhi wadau, kama thread inavyosema am a man of age btn 30 and 34 nahitaji rafiki
au marafiki wa kike kw ajili ya kudiscuss mamambo ya maisha kwa ujumla na mitoko ya out na kupeana...
Naona mada za kutafuta wake zimekuwa nyingi lkn naomba nami nitoe ombi lang.
Nahitaji mdada muadventista msabato baadaye aje kufanyika mke nami niwe Mme wake.
Mimi ni kijana miaka 30, mfupi...
Natumaini niwazima wote ninaomba kwa wadada tu nipate wadada wakuchat nao tu sina la ziada hapo au labda itokee lakini kuwa sasa nahitaji wadada wakuchat tu nione pm nikupe contacts. tuwasiliane...
Habari zenu ndugu , natumai nyote mpo poa ,
Natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo jinsi yyt , kwa sasa nipo znz kibiashara ila dar pia nakuwepo ,
karibun nyote
Hello LoveConnect Members!
Jaman mimi kijana nina miaka 27 ninajishugulisha na biashara natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 18-26.
Awe na mapenz ya kweli
PM kama uko interested
Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajilriwa natafuta msichana wa kuoa anayejielewa awe na miaka 20-25, awe na shughuli inayomwingizia kipato.
Aliye tayari tuwasiliane pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.