Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi kijana miaka 32 elimu yangu ni masters level.Natafuta binti wa kuoa kuanzia miaka 22-26. Awe muislam mwenye kujitambua kuanzia mavazi nk.Awe na elimu yake awe na shahada ya ualimu, nursing...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana jamii, Natumai muwazima rejea kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana wa wa miaka 21 hadi sasa nimemaliza mtihan kidato cha sita hivyo niko huru nyumbani hivyo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za usiku, Mimi ni mwanaume miaka yangu 36, naishi Dar es Salaam ukweli nina familia ya watoto watatu. Mmoja alizaliwa kabla sijaoa,na ana miaka 13 anamaliza darasa la saba mwaka huu huko...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Natafuta mwenza (mke) umri miaka 25 - 35 mwenye kujielewa , elimu kidato cha nne na kuendelea,dini yoyote. umri wangu ni miaka 35 elimu digrii kazi ni mjasiliamali naishi Dar kwa aliye tayari...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Mimi mwalimu
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Habar wanajamvi,nahitaj marafik wa kubadilishana nao mawazo ya kimaisha ya kila cku jinsia zote.karibun sana aliye tayar anichek kwa email: josephsadock2@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta mwanamke aliye tayari kuolewa . Awe na sifa zifutazo: 1.Awe anaishi Arusha au anafanya kazi Arusha. 2. Awe mcha Mungu(Mlokole atapewa kipaumbele. 3.Awe na kazi ya kueleweka(Mwalimu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF, Rejea kichwa tajwa hapo juu. Nipo hapa kutafuta rafiki wa kike Umri 30 - 39 kwa ajili ya urafiki na kubadilishana mawazo. Aliye tayari aniPM, ili tuanze urafiki huo haraka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta gal wakula nae gudtime,cna mpango wa kuoa,,akinikoleza nitadumu nae,umri usizidi miaka 28,,ntagharamia,,kama upo ni PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Polen wana jukwaa hili la love connect.... Mm ni kijana mwenye umr wa miaka 24 Nimejitokeza hapa kutafuta mchumba Sifa za mwanamke nimtakae... Awe mrefu wastan Rangi yoyote Asiwe mlevi Elimu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI awe mke wangu wa maisha! Mimi ni mwanaume mwenye miaka 48 sina ubaguzi wala masharti,mwenye nia ya dhati naomba tuwasiliane kwa contacts...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi wapendwa, Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana. Mwenye sifa hizo anifollow pm
10 Reactions
158 Replies
17K Views
Natumaini ya kua hamjambo jioni hii. Wapendwa katika Bwana leo ni siku ya pili nimekua nikiota ya kua niatapata mke mwema kupitia jukwaa hili. Mimi ni kijana wa kiume miaka 29 mkristo, naomba...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Msichana yeyote aliye tayari for a nasty chat kwa usiku wa leo tu aniPM
0 Reactions
2 Replies
821 Views
Wakuu asalam aleykum Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Ni muda mrefu hawa watoto wa kinyarwanda wamekua wakichanganya mtima wangu. Yaan nikiwaona roho yangu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu..nahitaji mtu wa kushauriana ktk masuala ya kutafuta maendeleo iwe biashara ..kilimo au utoaji huduma halali ambayo itatuingizia kipato..mm niko kny age of 40s..ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke, sifa: 1. Awe mzuri au mzuri kiasi 2. Asiwe mke au mme wa mtu 3. Awe hajawahi kuolewa au kufanywa mchepuko, kama ana bikira ni added advantage 4. Awe na tabia nzuri 5. Awe...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Binti ambaye upo kiwanja hasa DMV area na upo tayari kwa mahusiano mbayo yatazaa ndoa ni pm. Uwe chini ya miaka 30. Mwislamu au upotayari kuingia uislamu. Mambo mengine tutaongea.
0 Reactions
2 Replies
972 Views
Hi Natafuta rafiki wa kike awe Matured umri kuanzia miaka 50 na kuendelea,aliye serious anipm.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom