Kuna mdada miaka 35 anaitaji mume mtanzania umri wake uwe miaka 45 na kuendelea hata kama ana watoto haina shida ila wasizidi 3, yeye hana mtoto
kabila lolote dini yoyote yeye, ni mkristo elimu...
Natafuta mchumba wa kike mkwel ambaye yuko tayari kutunzwa,kupendwa na kujar bila Kuchoka. Yr 29 umri wang. Chagui din,rangi wala kabIla. N Pm kwa maelezo zaid
Habari JF,
Nimejitokeza jukwaani kutafuta mchumba ambae baadae nitamuoa.
Nina miaka 30, mrefu wa wastani na kitaaluma ni mhandisi katika kampuni moja hapa Dar es Salaam pia mkristo.
Mchumba...
Habari,
Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 30
Natafuta mwanadada kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi tu(sio ndoa,ni mapenzi tu)
Sifa:
Awe anaishi kati ya DAR,MORO,TANGA,MOSHI au ARUSHA
Awe...
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 28, naishi Dar es Salaam,sijaoa,ni mwajiliwa,naishi Dar es Salaam,dini yangu mkristu.
Nakuja jamvini kuomba urafiki kwa yeyote mwenye sifa kama hizi: Awe...
natafuta mchumba biti wa kiislam mwenye maadili na anae jua dini vizuri awe na umri kuanzia 19 hadi 21
kwa mawasiliano anitafute kupita email yangu husseinomary0@gmail.com
Mimi ni kijana wa kiume nnaejielewa vzuri tu. Natafuta mchumba awe na umri kuanzia 24-30yrs, elimu kuanzia kidato cha nne, awe mkristo na mkazi wa Dar es salaam. Its seriously wanajamvi tuache...
Nina miaka 25, nahitaji mwanaume(sio wa Dar). Awe na miaka 27_32. Asiwe cheusi mangala, aliye tayari anipm
Nb. AWE TAYARI KUPIMA AFYA(HIV/AIDS) na magonjwa mengine
Mimi ni mwanamke wa miaka 28, nina mtoto, ni mwajiriwa natafuta mwanaume wa maisha yangu awe mkristo miaka 30-36, mwenye ajira, mwenye hofu ya Mungu.Nimechoka kuumizwa.
Ukiona haikuhusu potezea...
Dear Ladies @ JF,
Hi,
I am looking for a pretty girl or woman to whom we can establish a new bond/family together.
She MUST POSSESS the following Qualifications:
1. Not married before, not...
Habari za maisha walimwengu.
Mie ni dada nimeolewa, na nina watoto. Nina swali. Nina mdogo wangu wa miaka 22, ninahisi ni bikra, ila sina uhakika. Kazi yake ni kupika tu home kwa mama. Wachumba...
Sifa zake:
1. Awe mkristo, anamwogopa na kumheshimu Mungu.
2. Awe ana shughuli halali ya kumpatia kipato(asiwe tegemezi)
3. Awe kuanzia na kimo kuanzia 5 7" na kuendelea (asiwe mfupiiii sana)
4...
Mi ni me,nipo kigoma kikazi,natafuta marafiki wa kike tu ambao nitafuta nabadilishana nao mawazo,na mungu akipenda nahusiano,umri wowote,elimu yoyote,kazi yoyote ana watoto au hana.huwezi jua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.