Habarini wana jukwaa, Natumai mko poa.
Bila kupoteza muda niende kwenye ujumbe tajwa hapo juu.
Kuna Dada ambaye ni rafiki yangu wa karibu kwa kipindi kirefu sasa tumekua kama ndugu.
Tumekua...
Mji huu una pilika nyingi sana kiasi kwamba muda wa kukutana na chaguo la maisha unakuwa mdogo. Hivi hakuna maeneo ambayo vijana wa kike kwa wanaume wanapoweza kukutana na kubadilishana mawazo?
Mimi nina umri 27 rangi ya mwili maji ya kunde, mrefu wastani kazi yangu mtumishi wa serikali makazi kwa sasa nipo Sumbawanga Rukwa.
Nahitaji msichana mwenye upendo wa dhati na yuko tayari...
Utamjuaje kama mtu anakupenda au magumashi. Moja katika maongezi yenu mwangalie vidole vyake kama vimenyoshwa wakati wa kuongea au vimekunjwa ukiona vimekunjwa ujue kuna ulakini. Pia soma elimu ya...
Hi There,
Mimi ni mwanafunzi wa moja ya vyuo vilivyopo Dar es Salaam kwa ngazi ya Diploma ... Jinsia Ni KE, umri 21... Kwa kifupi napenda kutengeneza marafiki wapya kila siku na katika wao...
I would like to take this opportunity to thank you all for contributions you provided.
I also would like to thank all who sent pms, I tried to answer all pms as i received though I received more...
The subject refers,
I'm a man aged 27, living and working in Mwanza. I'm looking for any serious lady whom I can later make my wife.
She must be of not more than 26 years,A Christian and...
Natijokeza kwa mara ya kwanza wana JF mimi ni Mwanaume mwenye Umri wa miaka 27 ni Muhasibu natafuta mchumba ambaye atakua mke wangu vigezo awe mwalimu au Nurse Umri ni Kuanzia miaka 19-24 Rangi...
Ninaishi Shinyanga mjini. Naangalia na kutafuta fursa ya kumpata rafiki wa kike katika viunga vya mjini hapa. Urafiki huu utalenga kufikia ushirikiano wa kirafiki kulingana na mahitaji ya pande...
Asalam Alaykum,
All praise is to Allah, the most beneficent, the most compassionate, the Sustainer and Cherisher of the Worlds, the Supreme.May His blessings be on Prophet Muhammad (SAW), his...
Habari ya leo!
Niko Dar, nafanya kazi, niko single, sina familia, najitegemea, nina miaka 34.
Natafuta mchumba mwenye kujiheshimu, anayejua anataka nini maishani mwake, aliye kwenye umri kati ya...
Am a man having 28 yrs, mwajiriwa goernment, mrefu, mweusi, mpole, mcha Mungu, dume halisi, mwenye uelewa na mahusiano. Binti wa vigezo hivi naoa fast 1) mcha Mungu (christianity) 2)mwenye true...
Natumaini muwazima ....
Natafuta mwanamke nitayeanza nae mahusiano then nimuoe ,..Nina miaka 30, mwanamke asizid miaka 27 ...elimu ya kidato cha nne na kuendelea ....dini kabila rangi sibagui...
Mimi ni mwanaume wa miaka 30, sijaoa bado kutokana na vipaumbele vyangu vya sasa; ila napenda niwe na rafiki wa kike wa umri wowote japo awe mrembo kweli.
Napenda sana kusikiliza music wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.