Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kama maada inavyojieleza. Mimi jinsia yangu ni me. Nahitaji na mwanadada msomi mpweke wa kubadilishana mawazo. Na kupeana mawazo namna ya kukabiliana na changamoto za maisha aliyetayari...
1 Reactions
4 Replies
920 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 Natafuta msichana wa kumuoa VIGEZO 1.Awe na miaka 18~25 2.Awe tayari kuishi popote 3.Awe na heshima zake Mwenye Vigezo Hivyo aje PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani ninatafuta mke kwa aliyeserious ili mfungo ukiisha tuje tufunge ndoa. Masharti kama ifuatavyo Awe muislam Umri 18-26 Awe na upendo wa kweli Kabila lolote Kwa aliyeserious ani PM kwa...
0 Reactions
3 Replies
820 Views
Jamani wana jm naomba leo tulijadili suala hili,inakuwaje watu mlikuwa wapenzi kwa muda mrefu,lakini inapotokea uhusiana kwisha, yule anaeachwa anaanza kutoa maneno mengi ya kashifa matusi, na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Namtafuta Raymond Benedict kitagama! Mara ya mwisho niliskia Yuko mwanza mwenye taharifa zake anijuze. Tumepotezana miaka mingi
0 Reactions
1 Replies
679 Views
Am a male aged 30 years am looking for girls to chart and exchanging views but adhere age not less than 18 kama umekubali ni pm
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Natafuta marafiki wa kike wa kuchati nao, ila urafiki ukija na nia yako nyingine haitapokelewa. Kama uko tiyari nitumie contact inbox. Thanx
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume nina umri wa miaka 28,elimu yangu ni chuo kikuu,rangi yangu mweupe kiasi,urefu ni wastani pia nina mtoto . Mwanamke mwenye vigezo vifuatavyo aje Pm, 1.Awe na umri kuanzia 18-26...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mambo vipi wananaMMU Napenda nchukue wasa huu kutangaza kuwa natafuta rafiki mwana MMU wa kike,no condition and terms wote mnakaribishwa am new member by the way. Naomba kuwasilisha. Asante
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hi my name is Princess aged 31 looking for a serious male friend, am a single mother and i am in need of single dad so that we can make a good relationship.
3 Reactions
54 Replies
5K Views
Mimi ni mwanaume 31,naishi Dar. Nahitaji binti yeyote mwenye hofu ya Mungu aliye tayari kuanza maisha ya ndoa. Mimi ni Mweusi,mrefu,mwembamba wa wastan na mtanashati.nina elimu ya chuo na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mm ni kijana kiume mwenye umri wa miaka30,natafuta mchumba wa kike ili tukifikia makubaliano tuoane. Ni pm kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wadau?? Mimi ni mwanaume natafuta friendz wa kubadilishana mawazo age iwe ina range 19-25, haina ubaguzi jinsia zote Xup 0687437852
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Jaman kwa mwanamke ataye penda kuchat na mm ani pm
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mm ni kijana miaka 28 makamo niliyonayo yanatosha kuanzisha familia ivyo natafuta mchumba awe na makamo yanayoanzia miaka 24 -32 vigezo... •Awe ana elimu kuanzia form 4 •Awe anafanya kazi yoyote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 24, mfupi lakini handsome boy, girl yeyote lazma nimvutie. Nipo dar, kazi yangu ni machinga, elimu yangu fom 6. Natafuta mpenzi, uwezo wa kumgaramia elfu 20 kila wiki...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF, Awali ya yote namshukuru Mungu kwa yote anayotenda kwa wanadamu wake, Pili,shukrani zangu ziwafikie viongozi wote wa Jf kwa ujumla wao na wadau/wanajumuiya wengine wote...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Nahitaji urafiki na binti au mwanamke wa kizungu ila huwa nashindwa kuwapata kutokana na mazingira nilonayo na sina connection yoyote. Hivyo naomba mwenye uwezo anisaidie, sio kwa nia mbaya au...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Back
Top Bottom