Mimi ni kijana mfanyakazi na nimejiajiri, naishi Tabora Mjini. Natafuta binti mrembo mwenye makalio makubwa kwaajili ya kuwa mpenzi wangu na baadae tukijaaliwa awe mke wangu. Sina mtoto na...
Jamani najitokeza kutafuta rafiki wa kike wa kuweza kunisaidia kimaisha katika kutafuta pesa maana kwa sasa sina kazi nipo nipo tu.sichagui lika wala dini kikubwa tu ni mapenzi ya kweli.mi nipo...
Habari...
Naitwa Richard, Humphrey nina miaka 26, naishi Tabata natafuta mwanamke atakaekuja kuwa mama watoto kama Mungu atapenda awe na sifa zifuatazo:
1. Mcha Mungu japo hata kidogo.
2...
I am Eric 25yrs naishi dar. Natafuta girlfriend ambaye atakuwa serious kuanzisha mahusiano awe
- mkarimu
- mrembo
- asiwe na tamaa ya pesa
- awe tayari Kuzaa
- elimu angalau form 4
- mwenye...
Kwa wadada
Najitokeza hapa kutafuta rafiki wa kike/mchumba kwani naamini anapatikana popote pale.Sichagui kabila,dini wala elimu ila awe na umri wa miaka 28 na kuendelea na asizidi 36
Mimi nina...
hii wana JF
Mie ndo mara ya kwanza kupost hapa ila si mgeni wa kusoma post humu jamii forum. nafahamu huku kwenyesocial media waliomo humu, ndio waliokomitaani hivyo nimeona nijitokeze katika...
Habari,
Naitwa Frank ni kijana wa kitanzania,umri wangu ni miaka 30-35.
Nina kipato cha kawaida, naishi na kufanya shughuli zangu hapa Dar es Salaam.
Nahitaji binti mrembo wa Kitanzania mwenye...
Habari zenu.
Mimi ni kijana mtanzania, miaka zaidi ya 26. Hapa karibuni, rafiki zangu kadhaa wamepata watoto wao, na kusema ukweli ile excitement yao imenigusa mno. Mpaka umri huu, bado sina...
Habari wana JF,
Hii ni kwa sisi tunao tafuta mpenzi/mchumba/mke,Ili tutuhakikishia unacho maanisha kama sio utani na upo serious kweli ni bora uweke picha yako tukuone.Sio ma post kila siku...
Mini ni kijana wa miaka kama 25,26 au 27,naishi Mbeya,sina ajira ila nimemaliza degree ya kwanza ya elimu.
Sifa zangu
>mnene Kiasi
>mweupe kiasi
>sio mrefu wala sio mfupi
>Mcheshi,nikiwa...
Nahitaji mwanamke ambaye yupo serious kwa ajili ya kuanziasha naye mahusiano and may be marriage in the next few years. I like somebody who is loving, caring, charming, smiling and who knows what...
Salaam,
Hii iwafikie wanawake na wasichana wote wenye wazo na hitaji kama langu. Mimi ni mwanaume, 28 years of age, living in Mwanza. Nina kazi yangu inayoniingizia kipato na naendesha maisha...
Watu wawili hawawezi kwenda pamoja isipokuwa wamepatana.
Nipo katika kutafuta wakutimiza nae hatua ya pili kati ya tatu muhimu ambazo ni kuzaliwa kuoa au kuolewa na ya mwisho ni kuondoka duniani...
Sifa zangu kama ifuatavyo, mnyenyekevu, muislam, nina bachelor degree nina umri 25+yrs. Nahitaji mwanamke kwa aliyetayari kuolewa, awe na sifa zifuatazo
Awe muislam.
Awe na elimu ya kuanzia form...
Habari wana jf,
Mimi ni kijana wa kiume naishi dar nimeajiriwa na taasisi ndogo ya fedha dar,natafuta mchumba ambaye yupo serious mwenye vigezo vifutavyo
1.awe mkisto
2.awe mrefu wastani na mnene...
Mimi ni kijana wa kiume;naishi dar nafanya kazi taasisi moja ya kifedha hapa jijini dar,nafuta mchumba ambaye yupo seriousy takakae kuja funga naye pingu za maisha
Vigezo
Awe mweusi na mnene...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.