Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hi all! Nahitaji mkaka yeyote amongst you who is heart-broken,lonely na hajawahi kupata true love katika mahusiano aloingia..Either your gal cheated or left u without any reason or with foolish...
9 Reactions
66 Replies
7K Views
Hi brothers & sisters,i have got an opportunity to work in Mwanza city..due to that am in need of friends to exchange ideas.. both men & women are needed,if your ready plz u can PM Thanks!!
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Namtafuta girl yoyote ambaye kakaa mamtoni kwa miaka anayojua yeye,awe ana mtoto au hana haijalishi as long tukakubaliana tuende next level,....awe UK,nchi za scandanavia au zingine za Asia...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wanajamvi natafuta mwanamke wa kuzaa nae watoto wawili sitaki ndoa, nitamlipa 150 mil tshs. Vigezo awe mwenye mvuto kuanzia sura mpaka shape...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Mimi ni mama wa miaka 32 nafanya kazi kwenye shirika la umma, natafuta marafiki wa kike na kiume wa kuchat nao. Umri kuanzia miaka 32 na kuendelea
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar ndugu zangu!! mimi na Mwanaumwe mwenye umri wa miaka 30' nimekuwa katika mahusiano lakini yasiyo na manufaa, i mean sio serious relation sababu ya aina ya wasichana wenyewe! Now days wadada...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari zenu? Nina imani kuna wadada wa kutosha humu na wakaka pia mwaweza kunipatia dada zenu.. ..ninahitaji binti mmoja tu anayejitambua na kujiamini.. Nimeshajipanga kimaisha na namuhaidi...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha. Sifa; Awe na Umri usiopita miaka 26 Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28 naitaji mke mwenye sifa zifaatazo 1.awe na umri kati ya 20-26 years 2.asiwe mnene sana 3.awe mkristu au aliye tayar kubadili dini 4.elimu angalu form four...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha. Sifa zake: Awe na Umri usiopita miaka 40 Awe na umbo zuri na sura ya...
5 Reactions
350 Replies
24K Views
Kwa aliye tayari kuwa mke anakaribishwa vigezo kama vifuatavyo. awe na elimu atleast form four kazi si lazima awe nayo kabila lolote rangi yoyote umri 20-26yrs Kwa aliye serious aje PM tupate...
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Mimi ni MWANAUME mtu mzima naitwa ROBIE.Kwa heshima kubwa napenda kutafuta mwanamke awe mtu mzima mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi,awe aliyeamua kuishi maisha ya kulinda afya na ambae...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
27-35 pm tuyajenge uwe wangu wife ila usiwe na mtoto.
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Mimi ni mkazi wa Kanda ya ziwa, ni muajiriwa serikalini na mwanamke mrembo wa ndoto zangu anahitajika. Vigezo awe mkristo na umri kuanzia miaka 22
0 Reactions
1 Replies
711 Views
Kwa aliye tayari na seriously naomba asome vigezo hv Awe Muislam Awe mcha Mungu Awe na umri 18-22 Awe na elimu kuanzia kidato cha 6 na kuendelea. Awe muelewa na mshauri mzuri Asiwe na stress zake...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Natafuta rafiki wa kuchat nae Awe mature Age 30 and above if interested ni PM
8 Reactions
26 Replies
4K Views
ni baba wa makamo natafuta mwanamke muelewa tupange maisha.Niko dar, nipm lmpliz
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni mdada wa umri wa miaka 29,naishi Dodoma mjini, natafuta mwanaume ambaye makazi yake ya kudumu ni Dodoma ili tufanye maisha i really need a family now! . Mimi ni mkristo and I am a...
9 Reactions
75 Replies
9K Views
Habari zenu wanajamvi, Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wanaJF wote, zaidi sana wale walijitokeza nilipotoa tangazo la kutafuta Mr. Right. Napenda kuwataarifu kuwa tumeendelea na mikakati...
10 Reactions
166 Replies
17K Views
Habarini, Nakuja,humu jamvin nahitaj mke, awe na Umri kati ya 20-35,awe hajaolewa,awe amejiajiri/kuajiriwa,atakayekua na mapenz ya dhat nami,awe mkristo,atakayekua tayar kuish nami mahali popote...
0 Reactions
4 Replies
877 Views
Back
Top Bottom