Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari wana jf, Mimi ni kijana wa kiume nipo dar natafuta mchumba ,ninakipato cha wastani mengi zaidi tutaongea private kwa aliye tayali karibu pm
0 Reactions
10 Replies
2K Views
MM NATAFUTA MCHUMBA NIPO ARUSHA MBAUDA NAMBA YANGU 0686203884
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta mchumba ambaye atakuwa my wife,mimi nina miaka 30 nipo Kinondoni.sifa zake awe mcha mungu,asiwe mvivu pia awe tayari kupima HIV na magonjwa mengine.aliye tayari ani pm namba yake...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Nipo kigoma kikazi kwa ke....yeyote aliyekaribu aliyetayari karibu anipe kampani,njoo pm...tupange
0 Reactions
1 Replies
847 Views
Mimi nikiajana na umri wa miaka 28 - 33 jinsia ni mume. Ni maji ya kunde mrefu wa wastani. Ni mwanaume wa dar es salaam kama ulivomsemo wenu naishi dar Nina kazi yangu inayoniingizia kipato cha...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ladies and gentlemen? I'm with profound joy indeed taking this wonderful chance inviting you all in my wedding day. The wedding service will take place at St. Joseph church at 13.30 on 23. April...
5 Reactions
39 Replies
3K Views
Natafuta binti wa kuoa umri 23 - 27, sibagui dini wala kabila awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, mimi ni mkazi wa Dar na ni mwajiliwa serikalini, umri wangu miaka 29.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndioo kama inavyosomeka katika kichwa cha habari. Aisee kama sio Mchaga usiniPM sitajibu. Vigezo vingine: -Awe mkiristu -Mrefu au wa wastani-kama mfupi usiniPM tafadhali -Uwe na kazi au...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari wana jamvi, Mimi ni msichana wa miaka 28 ,nilijigundua nina maambukizi ya HIV mwaka 2012.. Natafuta mtu ,mwenye hali kama yangu ,ili tuanzishe familia...
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Natafuta mchumba mwenye dhamira ya dhati. Jinsia yangu ni mke na umri wangu 35 nina mtoto mmoja. Ninamtafuta mchumba mume awe na umri 38-45 anaye elewa maisha na kupenda akiwa na mtoto mmoja sawa...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Umri miaka 20 hadi 30 Sura yoyote Umbo lolote Mbinti au mtaraka/mjane Elimu : Ajue kusoma na kuandika hadi çhuo kikuu Awe na nidhamu Msafi na kujipenda Dini yoyote Asiwe na magonjwa ya kuambukiza...
2 Reactions
0 Replies
819 Views
Hi JF, I salute all beautiful, charming, God-fearing, and understanding ladies in the name of Love! As my nickname stipulates, Am David, 28years of age, light in skin complexion, moderate...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Umri miaka 25 hadi 28 Elimu Digrii ya kwanza au ya pili Awe mjasiriamali au mwajiriwa Awe mkazi wa dar Awe na upendo wa dhati. Asiwe na mtoto. Awe na afya njema awe amepima ukimwi na magonjwa ya...
0 Reactions
4 Replies
856 Views
Habari, Nami leo nimeamua kujitokeza jamvini kutafuta mume ambae atakuwa wangu wa maisha naamini nitampata kupitia jukwaa hili. Mimi ni binti mwenye miaka 28 muislam natafuta mume lakini awe na...
4 Reactions
50 Replies
8K Views
Hi guys, natafuta mume awe HIV+ Umri kati ya 30-35,awe anafanya kazi,na awe serious na maisha binafsi mm nina umri wa miaka 27, ni H I V + ni mwajiriwa wa serikali nipo Kilimanjaro,kwa m2 alie...
6 Reactions
78 Replies
12K Views
Mi mwanamke pia natafuta wa kubadilishana mawazo haswa za kibiashara,kikazi na changamoto mbalimbali za kimaisha mkoa wowote,nchi yoyote.Kuchat na kushare mambo mbalimbali na kupeana michongo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari Wana JF, Mimi nina miaka 34 na watoto wawili, niliachana na mme wangu huu ni mwaka wa nne sasa, ila hadi sasa sijapata mtu mwingine hasa wa kuaminika wote ninao wapata naona wadanganyifu...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Holla,Mambos? Naitwa Sean, miaka 30, mfanyakazi(muajiriwa). Napenda kusafiri, kuogelea, muziki, kuwa na furaha na vingine vingi(vizuri). Kama unapenda kuwa rafiki, kubadikishana uzoefu na vingine...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni binti nina miaka kati 24 hadi 27 yani hapa kati.Nina sababu maalumu za kutokutaja miaka kamili najitegemea, ni mweusi maji ya kunde, nimekuja hapa natafuta mwenza wa maisha, aliye tayari...
2 Reactions
76 Replies
5K Views
Hello everyone A man who seriously wants a wife pls pm me so that we can start the journey. I am a lady of 26 years Born again Christian Sukuma from Mwanza Secondary school teacher Currently...
8 Reactions
136 Replies
13K Views
Back
Top Bottom