Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni kijana wa miaka 25.Nilikuwa kimasomo nje ya nchi kwa muda mrefu,sasa nimerudi nikiendelea na kazi na biashara hapa Dar.Nimejaribu kuingia kwenye mahusiano na wasichana kadhaa lakini wengi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nimekuja Ifakara jaman,nahitaji compan ya ku enjoy huku,nipo sicial saana,kama mpo mnaweza mka ni inbox,mimi ni mgeni huku PM Ruksa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mume mwenye VVU! Awe na umri kuanzia miaka 30-45,umri wangu ni miaka 28.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Natafuta mke mwenye maumbukizi ya UKIMWI awe mtu mzima angalau awe na umri kuanzia miaka 40 na kuendelea mimi pia mtu mzima!mawasiliano ni sekenemboh@gmail.com au PM
0 Reactions
5 Replies
2K Views
mrembo,awe na elimu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
hi, naitwa rafa natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae... nipo morogoro...pm me if ur interested
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni PM fasta number nikuchek..... #sambazaupendo#
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni pm namba tu exchange mawazo na kujenga strong membershipi...... Asante
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Habari zenu wakuu Nimekuwa na huyu binti kwa miezi 5 sasa, leo anadai hakunipenda ila alikuwa na mimi kwa sababu tu. Hii ni haki kweli? inaniuma sana.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari natumai ni wazima natafuta rafiki wakubadilishana mawazo, ningependelea kuongelea vitu vya maendeleo. Aliye tyr Ani pm,jinsia yngu ni mwanamke, kwa walioko dar itakua vzr, jion njema
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Natafuta marafiki wa kike wa kubadilishana mawazo aliye tayari ani pm...umri miaka 23 mwisho
0 Reactions
2 Replies
875 Views
Nina miaka 23 natafuta marafiki Wa kuchat nao kuhusu maisha ...girls & boys, 18-25 yrs. Mnakaribishwa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekutwa na HIV mwezi wa 11, 2014. Yawezekana nimepata maambukizi katika kipindi kinachoanzia mwezi wa 8, 2014. Nimeogopa na kujitahidi kulinda afya yangu siku zote lakini imeshakuwa hivi...
2 Reactions
95 Replies
10K Views
Habari wana Jf, Najitokeza kwa mara yakwanza kusaka mke wakuoa kupitia jf kwani mke anapatikana popote alipo panga mungu.Mimi Ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28 ni mfanya biashara natafuta mke...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi all, I am a single gentleman, energetic, hard worker, Intrepreneur with vision and mission aged 28 years. Hereby looking for a single lawyer ready for a truth and future oriented relationship...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari wana Jf , Naitwa Yohana natafuta mke wa kuoa, kwa sasa sina kazi ya Uhakika. Mvumlvu na mstahimlivu karibu.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Naishi Dar, mimi ni mwanaume, hakuna vigezo wala mashariti. Tuonane PM kama uko tayari, wenye wapenzi pita kimya kimya.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za hapa? Mimi ni Mwanaume mwenye umri kati ya miaka 45 na 50,nikiwa nina imani thabiti najitokeza hapa KUTAFUTA MWANAMKE MWENYE MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI,Kwa mwanamke aliyeguswa...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Jaribu kunitafuta plz mana nashindwa kusoma ajili yako tafadhali. If there one called ilham here find me plz coz niliapa ntampenda mwenye kuitwa jina hlo mana ilham wangu cjui katolokea wap jamani?
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Mimi ni Samson, Namtafuta mdada yeyote anaeitwa Delila.. Tangu naanza kusikia habari za samsoni na delila sijawahi fanikiwa kumwona mdada anaeitwa ivo, kwaiyo namtafuta huyo mdada kama vipi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom