Natumaini hamjambo wana jamvi, kuwepo humu ndani fursa ya kufahamiana pia ili kutengeneza upendo na amani zaidi katika jamii yetu kwa njia ya urafiki, karibuni wadada kwa urafiki, nifikishie...
Hello.
Mimi ni kijana wa elimu. Nina degree moja sasa.
Nahitaji mwanamke, awe tayari kupendwa, na yeye apende pia. Kulazimisha mapenzi hapa kwangu hapana.
Nitazingatia sana afya, usiwe na STD...
Ndugu zangu,
Natafuta mke aliyetayari kuabudu mitume wote kwani mimi naamini dini zote ni sawa na binadamu wote ni sawa.
Siku ya ijumaa niko tayari/awe tayari kwenda msikitini na siku ya...
Mimi ni kijana wa kiume mkristo mwenye umri wa miaka 30 ni mtumishi wa serikali. Natafuta mchumba atakayekuwa mke mwema kwangu. Awe kabila lolote Tanzania, dini mkristo dhehebu lolote. Umri miaka...
Habari zenu wanajamvi,
Nimejitokeza humu kutafuta mchumba kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Lengo langu ni kumpata Mwanamke ambaye atanifaa mimi kwa kuamini kuwa mchumba...
Habari zenu jamani,
Napenda sana marafiki wa kuchart nao na kubadilishana mawazo ya maendeleo ili maisha yasonge.. walonizidi umri watanifaa zaidi, umri wang miaka 24
Karibuni
For chat, social drinking and hangout.
Age 22 - 30, clean and sound mind. At least a diploma. Tall. Preferably 1 or 8 but not 0. Must have a smartphone and not a friend with dala dala. Non...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza..rafiki wa kike namuhitaji ambaye kesho atakuwa mke kwangu...awe muslim,elimu ya aina yeyote,awe mweupe ama maji ya kunde,mnene kiasi kuanzia,umri...
Already got ma serious one!he is a long tym friend of mine not from jf and its almost a month now am in a serious relationship!no more replies,no more pm's!!
Thank u all!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.