Mimi ni mwanaume ila napenda kuwa na marafiki wa jinsia ya kike niwe ninabadirishana nao mawazo, ushauri kuhusu mambo ya kijamii na mambo mengine mengi kadri yanavyotokea katika jamii yetu.
Nlikua sijali kuhusu dini but I come to realize swala la udini bado lipo kwenye vichwa vya wasichana wengi.
Nmekuwa na waschana wa kikristu coz wengi hufikiri mimi mkristu ila pale tunaposet...
Habbari zenu humu jamvini,mie ni kijana wa kiume najitokeza humu kumtafuta bint/msichana ambaye nitaweza kumuoa ili tuweze kuliendeleza kurudumu hili la maisha,Vigezo vyangu mimi kwanza awe...
thread nyingi zinazoletwa humu ni za wanaume wakisaka wanawake, na zimekuwa hazipewi kipaumbele kabisa na walengwa, yaani wanawake. Hii ina maana kuwa wanawake humu wana watu wao sana..
Ila...
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25 niliehitim chuo mwaka jana. Natafuta mwanamke ambae yupo tayari kuoana, awe na umri wa miaka 20-30 sna ubaguzi wa rangi, dini, wala kabila, karibu sana japo...
Wana Jf,
Kuna dada ameonekana uchumi supermarket quality centre nina ujumbe wake muhimu sana nadhani anamiliki gari 'nadia ' maroon number T688 BVN naomba mwenye kumfahamu yeye au hii gari...
Hi,j JF member.
Mimi ni mwanaume natafuta rafiki wa kike baadae awe mke wa kuoa nitaeishi nae kwa miaka yote.Awe mtiifu,mkweli mwenye mapenzi ya dhati.
Karibuni sana ni Pm kwa mawasiliano zaidi
Wapendwa na mimi najitokeza kujitafutia mwenza kama yupo anaye kidhi vigezo namkaribisha.
- Awe Muislam wa umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi
- Awe na Elimu kuanzia Diploma na kuendelea na...
Nahitaji mchumba aliyeserious na maisha na aliyekua na kuacha utoto,anasa na kufocus na maisha
Hata kama ni jobles ntafungua biashara asimamie.
Age 22-26
Asiwe mnywaji wa kilev chochote pls
Mimi...
Iam 24years old. Na sababu iliyonifanya nitafute mwanamke aliyenizidi umri ni kuwa hawa wanawake ambao ni rika langu wamekuwa hawajui kujali, kuthamini na hata hawana upendo wa kweli. Ninahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.