Mm ni mtanzania nisiye na makuu naitaji mwenza kma maandiko yavyosema mwanamke atamuacha mamaye na babaye na kuambatana na mumewe wawe kitu kimoja cbagui dini wala kabira umri kuanzia miaka...
Mm ni me.ni miaka 2 imepita tangu niachwe na aliyekuwa mke wangu .sasa nahitaji mke .elimu yangu ni FTC in electrical.mwajiriwa .miaka 42.naishi Dar dini mkristu.ninayemtaka.dini yeyote umri max...
Hi Ladies,
Natafuta rafiki wa kike/mpenzi tuwe kwenye mahusiano na baaade ndoa Mungu akibariki.
Awe tayari kunipa mapenzi yake yote nami nipo tayari kumuhudumia ipasavyo kama mwanamke wangu,na...
Nahitaji mwanadada tokea dar anayejielewa, mchapakazi na mpenda maendeleo mwenye changamoto za maisha age kuanzia 20 up to 24 and mwenye true love kama uko tayari ni pm au 0755091728.
Asante
Mm ni kijana miaka30,nahitaji mpenz/mchumba wa kike mwenye miaka 30-37 awe na elimu ya masters/phd. Vigezo vya kimaumbile na kimuonekano havitazingatiwa.
Kichwa cha habari hapo juu cha husika,
Jinsia yangu ni mwanaume urefu wastani rangi ya kunde na mail wa wastani sio mnene wala mwembamba elimu chuo kikuu kazi serikalini dini Mkristo, lugha nne...
Nimepata transfer ya kikazi mkoani Mwanza mi kwa asili yangu ni mgumu sana kutengeneza marafiki sababu ni mkimya hivyo kwa wenyeji hapa Mwanza jinsia zote ukiwa kijana wa -32 ni vizur zaidi...
Kama wewe ni girl age 18-35 na unaitaji mahusioni ya kweli na dhati kutoka kwa mwanaume atakayekujari,kupenda na kukupatia matunzo yote muhimu tafadhar ni PM.
mimi ni mvulana wa miaka 23, sasa niko chuo namalizia mwaka wa tatu, na natafuta msichana ambaye tutaku pamoja as friends na if God wishes tuwe loers.
my qualities:
urefu: 150 cm
rangi: maji ya...
Mimi ni single,elimu yangu shahada,sina kazi napatikana Dar umri miaka 28,natafuta mpenzi wa kike,umri miaka kuanzia 23-26, elimu kuanzia kidato cha nne mpaka chuo.
Kama upo tiari chukua namba...
Mimi ni kijana umri miaka 23, elimu yangu ni ya chuo kikuu. Natafuta rafiki wa kike mwenye MALENGO na MSIMAMO ambaye tunaweza kubadilishana mawazo, kupanga maisha na baadae MUNGU akijalia tuweze...
Kwanza namshukuru mungu kwa kunipa uhai kwa siku ya leo.
Kimsingi niko hapa kuwaunganisha watu wanaotafuta WACHUMBA.
Nimeamua kufanya hivi kwani hitaji la watu ni kubwa humu JF ila kunawatu...
nahitaji mke wa kufunga nae ndoa, awe na umri kati ya miaka 23-28, awe muslim anaemuogopa Mungu, awe anajitambua, anaejua thamani ya ndoa n.k.... niPM utajibiwa haraka
NB. kabila yoyote
....mimi ni kijana(ME) umri 23 years, nina elimu ya chuo kikuu. Natafuta rafiki wa kike ili tushirikiane katika mambo mbalimbali na hata baadae kuoana kama ikiwezekana.....umri uwe kati ya...
kwa mara nyingine najitokeza hapa...
Natafuta rafiki wa kike ambaye ni mkristo mchaji na mwenye hofu ya Mungu ndani yake. Asizidi miaka 27, asiwe mfupi. kwa aliye serious anipm ... kuhusu...
Nahitaji mwanamke ambaye tayali ni mtu mzima na pia awe mnene, mkweli, muwazi na mwenye upendo wa dhati pia awe na kazi. Naomba kama yupo ani PM au anitumie email hapa imani.mangowi@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.