Husika na Mada tajwa! Mm kijana 24 yrs, Bachelor Degree, Sina kazi(mpka mwakani)
Hitajio langu.....
Mwanmke 30~38
mnene
Muislamu
kazi yeyote
Nahitaji wa kuzaa na kulea nae Mtoto tu..
Nahitaji mwanamke wa kufunga nae ndoa awe maji ya kunde au mweupe... Awe msomi wa degree au diploma katika fani hizi ... Engineer,Doctor, Accountant, finance, business Administration...
Kwa wale mabinti wa YESU waliookoka na kumpenda MUNGU na ungetamani kuolewa na Mtumishi wa MUNGU, basi nafasi ndiyo hiyo, naomba uni pm, ukisema jina lako, mahali ulipo, na mahali unapoabudu...
Habari zenu wadau,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24..siku nne zilizopita nilipost thread ya kutafuta girl friend ambaye baadae tutakuwa wapenzi.
Ninashukuru kuwa nlifanikiwa kupata dada...
28yo, tall, black, businessman and athletic male looking for a little adventure with a stranger. female between 18-30 must apply with a picture. I will not respond to message with no picture...
Natafuta msichana wa kuchati nae awe mkristo awe anakaa Morogoro au Dar elimu kuanzia form 4. Umri awe kuanzia mika 20 hadi 23.
Ani PM nitampa namba ya simu tuwasiliane mimi nipo moja ya chuo...
Mm ni kijana nina umri wa miaka30,ki umbo ni mnene hvyo napendelea wanawake vimodo. Nikiwakumbatia huwa najisikia raha sana. Kama wewe ni modo nipm nikufate nikukumbatie.
Awe mrembo,awe anajitambua,Elimu kuanzia Kidato cha sita na kuendelea,nahitaji mchumba wa malengo badae ndoa endapo Allah akitufanyia wepesi,Umri 18-22,NB awe Muislam Kwa aliye tayari anaweza...
Wapendwa,
Nilijitokeza hapa mwisho wa wiki iliyopita kutafuka marafiki wa kike wa kuchati.
Najua wengi watajiuliza kwa nini nimeweka umri wa juu hivyo, ni kwa kuwa, na mimi nina umri unao range...
Natafuta binti mwenye umri kuanzia 18-25 ambae yupo tayari kuolewa.rangi,kabila,dini,urefu kwangu si kigezo kwa sababu nitampenda jinsi na nitaweza mbadilisha nitakavyo.
Mwenye utayari aniPM
Kila jambo huwa na faida na hasara zake katika uchaguzi wa mwaka huu na heka heka zake watu tumejuana uwezo wa kufikiri, kuchambua na kutenda. na zaid katika kumjua mwenza wako au mchumba...
Kama heading ilivyo,
Natafuta mwanamke wa kumuoa ambae amepitia magumu katika mahusiano ya awali ili tufarijiane, awe na nia ya dhati ya kuingia kwenye ndoa. Aliye tayari kupenda tena, awe na...
Habari wanajf.
Nilitoa thread humu ya kumtafuta mke mwema na rafiki yangu mpendwa.
Ninachoshangaa zaidi,wengi wao ni kina dada ambao tayari washapata watoto. Pia wengi wanadai baba zao watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.