Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mwanaume mwaminifu mwenye umri kuanzia miaka 36-40,awe anajishughulusha,awe mkristo,asiwe na mtoto zaid ya mmoja Awe anajituma katika maendeleo, aliye tayari npm
1 Reactions
46 Replies
21K Views
Natafuta marafiki wa kuchat nao sibajui jinsia na umri.
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Jamani nahitaji mke wa kuoa,umri wangu ni miaka 30,ni mtumishi wa Serikali.Umri wa ninaye mtaka uanzie 22 mpaka 30,angalau awe amefika kidato cha 6.sichagui dini wala kabila.alioko tayari ani PM
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana Jf Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka30. Nimejitokeza kwenye uwanja huu ili kutafuta mwanamke aliye tayari kuanzisha mahusiano ya kimapenzi yatakayo tujenga kufikia hatua ya mke na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mim ni mvulana, umri ni 28yrs,uref 5.8, nipo mwaka wa mwisho chuo kikuu flan apa tz. Natafuta mschana wa kuwa mpnz wa maisha, awe 18-23yrs, asiwe mref wala mfup, mnene wala mwembamba, asiwe mweus...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF? Leo naomba nishee nanyi aina na vigezo za yule nitayekuwa nae maishani 1) Awe mpole na mtulivu: Namaanisha asiwe mtu muongeaji saana kwana hata mm nipo very polite...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nahitaji kua na rafiki wa kike anayesoma kuanzia. 1. A- level haswa awe Form 6 (six) au Diploma na. kuendelea hadi chuo kikuu. 2. Katika Fani ya. Civil Engineering, petroleum and gas...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Natafuta Mchumba mwenye umri wamiaka 18 – 24, elimu angalau kidato cha 4 na asiwe mnene wala mwembamba sana.Mimi ni kijana wa miaka 27, nina elimu ya Chuo na nampenda sana Mungu...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Kwa ujumbe huu nawajulisha kuwa kama kuna msichana ambaye yupo tayari kuolewa tafadhali ani PM na aweke contact zake for further conversation am so sirious sio matani mke/mume hupatikana popote...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wandugu, Naishi Boma N'gombe - Moshi na nahitaji marafiki wa kike tajwa hapo juu kutoka sehemu yoyote TANZANIA Sifa; Awe anapenda kuchat (ila sio addicted) Hata akiwa na mtoto sio shida Awe...
0 Reactions
1 Replies
972 Views
Waungwana naomba kuuliza, Hivi kutafuta mpenzi mitandaoni, ndiyo imekuwaa fasheni au ni kushindwa kuongea na yule umpendaye face to face { domo zege }?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mimi kijana poa sana natafuta marafiki wa kike wa kubadilishana nao mawazo alie tayari ani PM
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta rafiki wa kike wakubadlishana nae mawazo.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hai natafuta rafiki wa kike nichati nae mimi nipo Morogoro nae awe wa Morogoro awe mkristo elimu form4 na kuendelea umri miaka 20 hadi 23. Ani PM alipo tayari tuwasiliane.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi pia ni mwanaume mtu mzima natafuta mke nae awe mtu mzima wa kuanzia miaka 45 na kuendelea
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana Jf naomba ridhaa yenu na utayar wenu katika hili. Nahitaj na kutafita binti mlokole ambae yuko makini na tayar kwa kua katika mahusiano ya malengo. Pia asiwe muongo. Aliyekua tayar tafadhali...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za majukumu wadau, Nimeachana na mchumba wangu 1 month ago nimekuwa mtu wa mawazo (stress) sana. Nahitaji smart single lady wa kuchat nae atleast kunipotezea haya mawazo. Elimu yangu ni ya...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ni mwanaume nina 26 yrs. Ninakazi yangu na maisha ya maana kabisa. Nina elimu ya juu sana nipo Morogoro nahitaji mchumba wa kuoa. Tabia haijalishi nitairekebisha mwenyewe nipo vizuri...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Natafuta marafiki wa kiume kuanzia miaka 38 mpaka 50,wawe single.
2 Reactions
50 Replies
9K Views
Siku mbili zijazo nitakua na trip ya kama week mbili mjini manchester,natafuta kampani ya marafiki wa kike walioko kwenye huo mji.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom