Baada ya kuzunguka huku na kule nilifanikiwa kupata msichana kupitia forum hii ya love connect ofcoz ni msichana mzuri sana na yupo serious na mahusiano tatizo ni kwamba nahisi kama namuonea...
Husika na kichwa ha habari hapo juu,
Nina umri wa miaka 24, naitaji mwanamke atakae nizalia mtoto tu, uwe mrefu mfupi mweupe mweusi mbaya mzuri umri uwe umekwenda au haujaenda hayo ni ya kwako...
MKISIKIa KUNA DADA MWENYE HEKIMA NA ADABU,
ANATAFUTA NDOA,
MWAMBIENI ANITUNIE UJUMBE FASTA.
MIYE NI MFANYABIASHARA WA MAYAI YA NJIWA,
MAENEO YA BUNJU!
NIMEMALIZA!
Hi, Wadau looking for a serious talkative and Charming girl of this age 18-26 reside in Dar for Partnering and Network purpose! PM your contacts and expect soon reply
Thanks in advanceI will...
Mimi binafsi nimeshaoa hila nishawawekea tangazo jamaa zangu 2 na mmoja anaoa mwezi 12 kila kitu kimeshakilika sasa kuna rafiki yangu mwengine naye anahitaji msichana wa kuoa hila yeye anahitaji...
Natafuta rafiki wa kike aliyepo Dar, Moro au Pwani uwe mkristo tena mcha Mungu, uwe unajielewa vyema. Umri usiozidi 27yrs old. Elimu at least for four, ila sipendelei wafupi lengo la langu ni...
Naitwa kelvin nina miaka 25 naishi dar, natafuta mwanamke wa kuanzisha nae mahusiano na baadae ndoa sichagui dini,rangi wala kabila uwe tu mpenda maendeleo na mtafutaji na mwenye kujua thaman ya...
Natafuta mpenzi.
Umri kuanzia miaka 28 hadi 40.
Asiwe mshabiki au mkereketwa wa CCM.
Awe serious.
Niko Moshi, Kilimanjaro kwa aliye tayari tuwasiliane PM.
Habari zenu marafiki,
Ni mara yangu ya kwanza kujitokeza hapa nia na madhumuni ni kutafuta marafiki kwa ajili ya kubadilishana nao mawazo ya kimaisha. mimi naishi singida ni mfanya kazi kwenye...
Hi ladies;
Sifa zangu: Ni msomi, mfanyakazi,Mkatoliki,mchaga,umri 30yrs na niko Dsm.
Mwanamke ninayemtaka angalau akidhi vigezo vifuatavyo;
Awe mkatoliki anayependa kusali na mwenye hofu ya...
Habari zenu wanajamvi!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni mwanamke wa miaka 26 sasa...natafuta mwenye sofa zifuatazo.
.Mcha Mungu, yaani mwenye hofu ya Mungu, awe mkristo tu.( esp...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.