Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari, Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 25 natafuta mpenzi ambaye yuko tiale kupima UKIMWI Kama uko tiari ni pm
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni kijana ninaesoma chuo kimoja hapa jijini Mbeya. Natafuta Msichana(18yrs-30yrs) wa ukweli ambae tutasukuma haya maisha ya chuo. Awe mwanafunzi au Mfanyakazi(Sio za ndani). Mi ni mrefu. Sio...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Natafuta na Nahitaji mwanamke mwenye kujielewa, mkweli, mwenye true love, anayejuakupenda na kuthamini kupendwa anayejua nini maana ya mahusiano naamini age ni namba tu but age yangu ni 26 old am...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani kina dada/mama,mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42,NAITAJI MKE lakini jamani sina ajira/kazi yoyote ile,yule mwanamke ambae atarizia na atakaekubaliana na hali hii tafadhali naomba...
0 Reactions
80 Replies
10K Views
Habari za humu wapendawa, Ni msichana umri miaka 23,nahitaji mme mwema mwenye kujitambua umri miaka 26-35. Alie tayari ani pm
1 Reactions
31 Replies
4K Views
- Nina umri wa 32 - Sijaolewa, sina mtoto - Mkristo mkatoliki - Nina elimu ya chuo - Mwajiriwa Serikalini - Nina hofu ya Mungu ndani yang. Natafuta mwanaume ambaye na yeye anahitaji mwenza kama...
0 Reactions
85 Replies
8K Views
Je umetelekezwa na mume/ mchumba/ boyfriend na amekuachia mtoto ambaye hamtunzi na wala hamjali? Nimejitoa Kuwa sadaka kwa watoto wapweke wasio na baba. Wajibu wangu utakuwa Kuwa karibu na mtoto...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
I'm 50 by December, natafuta mtu 30-50 yrs old.Iam in UK nina kazi siyo ya box. Haya lete habari
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tafadhali, Mimi ni mwalimu wa secondary, najua yupo anaenifaa humu. Ni pm kama upo tayari
0 Reactions
5 Replies
2K Views
b BOY mura kutoka musoma natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo awe na umri kati ya miaka 18-23 Karibuni no 0757693949
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari, Nipo Dubai natafuta mwanamke wa kuchat nae na kubadilishana mawazo. Kama Uko Dubai, Sharjah, Deira ni PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana, Najitokeza hapa kutafuta mchumba muislam ambae Mungu akijaalia aje kuwa mke wangu,nipo serious nahitaji kuwa na mchumba kwa wakati husika,mimi ni muajiriwa Serikalini na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naitwa Mudy natafuta mpenzi mwenye mapenzi ya kweli ili ikiwezekana baadae aje kuwa mke wangu. Sifa awe mnene na pia awe na kazi yoyote ile mimi nipo Dar ke. Mawasiliano nipigie no.0652868486
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Mimi naishi Arusha ni kijana mstaarabu nilieajiriwa Serikalini mwenye kipato cha kawaida. Nahitaji kupata mwanamke atakayekuwa rafiki yangu. Sifa; 1. Awe anajiweza financially kwani kipato changu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Guyz, Mimi ni ME nmetua jana mwanza but lonly hatari hata viwanja sivijui kwenye girl yoyote alie mwanza ani pm siyo kwa mahusiano ya kimapenzi lakini,only friends kwa walio mbali for charting...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke humu kwa ajili ya mahusiano ya muda mrefu ya kimapenzi. Awe na umri usiozidi miaka 35. Awe ni mtanzania anayeishi Dar au awe anapenda kuishi Dar. Awe hajaolewa wala juzaa...
0 Reactions
1 Replies
735 Views
Kichwa cha habari chajieleza, Kutokana na jeuri aliyonayo mke wangu,natafuta mwanamke atakayenifariji kipndi hiki kigumu hukunikitafuta njia za kuachana na huyu mwanamke coz nimechoka sasa! Kama...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Amepatikana
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Nilishaoa, ndoa ikavunjika 2013,miaka 36, mrefu wa 6ft, handsome, msomi nina degree, naishi Dar. natafuta binti wa Kisukuma/Kinyamwezi awe mrembo mweupe mrefu angalau 5.5ft, mkristo, elimu kuanzia...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom