Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mim naomba ushaur utamjuaje mpenzi wakweli maana mim nina mpenz wangu kila Mara anasema yuko busy hata simu hapokei Mara nyingine ukimuuliza sababu anasema yuko busy
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wana JamiiForums! Kwa mara ya kwanza naingia humu kumtafuta ambaye atakuwa mtu wa karibu maishani mwangu. Nina miaka 29, ni Mkristo, ninafanya kazi katika shirika binafsi na nina elimu...
5 Reactions
79 Replies
14K Views
Natafuta mke kwa mara nyingine coz bado sijampata awe mwalimu au nurse umri wake 22-24 mrefu kiasi umri wangu 25yrs
0 Reactions
0 Replies
653 Views
[emoji12]
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama uko tayari ni pm binti/mwanamke wa kuliwazana
0 Reactions
0 Replies
725 Views
Nipo Ubungo natafuta girl awe na sifa zifuatazo; 1: Awe mweupe 2: Asiwe mrefu sana 3: Asiwe bonge 4: Awe anaish Dar 5: Awe mtu wa dini kama mimi
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Mkristo,20yrs-26yrs, tabia njema, elimu diploma na kuendelea, Mengineyo PM. Karibuni
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naamini mke anapatikana popote natafuta mwanamke mkristo mwenye hofu ya Mungu.Ili awe mama wa watoto wamgu mwenye kujua wajibu wake kama mama wa familia. Umri 20-27 elimu form4 na kuendelea. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji awe na sifa zifuatazo; -Maji ya kunde -Mrefu kiasi -Elimu yeyote
0 Reactions
10 Replies
2K Views
You must under 23. adventist christian. Race trible education size tupa kule. PM or Mail via [edu.pioneer76@gmail/yahoo.com]
0 Reactions
3 Replies
901 Views
Natafuta rafiki wa kike popote pale. Nahitaji awe mwenye hofu ya MUNGU ndani yake, napenda awe mrefu, umri 23-27. Mengine tutafahamiana, mimi ni me, umri wangu 28. God bless you
1 Reactions
2 Replies
855 Views
Xxxgvcffcggvvvvggvvbbhcccvvvvvvcvv bhv gbb
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Mimi ni msanii wakuigiza yani studenti of the year or drama. Napenda sana kipaji hiki ila suport hamna japo mafanikio yapo.
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Nahitaji mwanamke Sifa; Anayejitegemea,mcha Mungu,mtulivu na asiye na tamaa. mwonekano mzuri umri 20-32 mnene au wastani. Aliyetayari atume (PM) private message
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Nina miaka 26 ,elimu yangu degree,nimeajiliwa selikalini,naishi mbeya. Natafuta mchumba au mke wa kuoa . Vigezo awe na elimu kidato cha nne na kuendelea,mweupe,sura nzuri,asiwe mnene pia awe na...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Mimi ni binti wa miaka 22 natamani niwe na mchumba kutoka humu.Mie bado mwanafunzi ila wachuo Sifa zangu: Rangi yangu maji ya kunde nina macho ya kusinzia, nina lips nzuri, ninamguu mzuri, chuchu...
8 Reactions
215 Replies
27K Views
Mimi ni KE, nina miaka 27, natafuta rafiki wa kiume kuanzia miaka 33-40, awe anajitambua, mkristo na awe na shughuli inayoeleweka na halali, elimu yake iwe kuanzia Diploma hadi PHD, mwenye nia...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Nimeshakuwa katika mausiano na wasichana tofauti, mara ya mwisho nilikuwa na mahusiano na dada wa kijerumani,huyu kwa mara ya kwanza tulifikia mpka kutambulisha kwa wazazi.Siku kadhaa zilizopita...
1 Reactions
47 Replies
4K Views
Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Mimi ni mwanamke umri miaka32 Nina mtoto 1 wa miaka 5 nimeokoka nampenda yesu ila umefika wakati nahitaji mwenzi mwenye mapenzi ya kweli nitakaefunga nae ndoa na awe ni mtafutaji kama mimi...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Back
Top Bottom