Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hello my fellow JF Members, Mimi ni msichana mwenye miaka 33, msomi, na ni muajiriwa Serikalini. Carreer-wize I am doing ok but I think it's about time I meet my future husband & soulmate wangu...
6 Reactions
57 Replies
6K Views
Habari, Natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto,umri wangu ni 30, nitamtunza na kutimiza mahitaji yake yote. Alie Tayari ani pm ilikufikia lengo hilo mimi npo Dar.Awe na miaka 24 mpk 32. Karibu sana
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nahitaji best wa kutoka nae Mm nipo migombani zanzibar kama yupo ani PM fasta
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Aliyetayari ni PM
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nataka msichana wa kuchat/kuflirt nae age 18-28.
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Naitwa Muta nina umri wa miaka 22 natafuta mchumba. Kwa maelezo zaidi ni pm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naishi mwanza, elimu yangu ni kidato cha 6, nina miaka 24, ninafanya vibarua vya muda kupata riziki, sina mpenzi kwa sasa ila nahtaji mpenzi mwenye sifa zifuatazo: 1. Asiwe mchoyo wa penzi 2...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Mimi nina umri wa miaka30 natafuta mke wa kuoa anaetoka morogoro sehemu yoyote. Awe tayari kuishi katika mazingira yoyote. Ni pm au nitafute kupitia email sethrodney21@yahoo.com
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta mwanaume mwenye umri wa miaka 38 na kuendelea
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30, natafuta mke wa kuoa, mwenye mapenzi ya kweli, mwenye umri 20-30. Atayekua tayari ani Pm kwa mawasiliano zaidi Asanteni
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kupokelewa jf jaman, hasa jukwaa hili
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi all, Natafuta rafiki wa kike wa kubadilishana naye mawazo awe na miaka 30-40 anayejielewa,msomi na ambaye anatambua nini maana ya maisha karibuni wanawake.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari, Kwa jina naitwa Johnson na miaka 31 naishi Dar. Natafuta marafiki wakike wa kubadilishana mawazo na kushauriana. Wenye umri wa miaka 18-32.
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Awe na sifa zifuatazo; 1. Awe Mtanzania 2. Elimu at least form six na kuendelea(iwe rahisi kumuendeleza) 3. Umri miaka 23 hadi 28 4. Awe mcha Mungu 5. Asiwe mwembamba sana, asiwe mnene...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
MI ni kijana mkazi wa Dar, niko bachelor, nina elimu ya Chuo Kikuu nilimaliza 2013, nina twenty six years nilipomaliza nikaajiliwa na Serikali hazina mpaka sasa. Ninatamani kumpata mrembo hapa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana JF, Mi ni mvulana wa miaka 28 na elimu yangu ni first degree pia naishi Dsm. Natafuta binti mwenye miaka kuanzia 19-24 awe na mwili wa wastani, urefu 161-163 sentimita, dini should be...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mchumba mwaminifu, anaejali, asietumia kilevi chochote, awe mcha Mungu, umri 27_30, mtanashati, mkristo, awe anaishi Arusha au Moshi, nitampenda na kumjali hatojuta. Sifa zangu; - Mfupi...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za mida hii wapendwa, Mimi ni binti mmoja mtaratibu sana, sijisifii ila niko hivyo kweli. Mapenzi yamenuimiza sana, ilifika mahali nilichukia sana wanaume, niliona ni wanyama nimekaa...
5 Reactions
48 Replies
5K Views
  • Closed
Nale khobha ng'wanike wa kotoola, ila abhize na myaka kwandeja makomi abhele asido kela makomi abhele na mpungate, nale ng'wanza, ila abhize na tabia ya wiza, natogilwe ngenu hado, nehu hado...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
Nahitaji marafiki mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali ei sistert & bro Karibuni
0 Reactions
0 Replies
510 Views
Back
Top Bottom