Hello my fellow JF Members,
Mimi ni msichana mwenye miaka 33, msomi, na ni muajiriwa Serikalini. Carreer-wize I am doing ok but I think it's about time I meet my future husband & soulmate wangu...
Habari,
Natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto,umri wangu ni 30, nitamtunza na kutimiza mahitaji yake yote. Alie Tayari ani pm ilikufikia lengo hilo mimi npo Dar.Awe na miaka 24 mpk 32.
Karibu sana
Naishi mwanza, elimu yangu ni kidato cha 6, nina miaka 24, ninafanya vibarua vya muda kupata riziki, sina mpenzi kwa sasa ila nahtaji mpenzi mwenye sifa zifuatazo: 1. Asiwe mchoyo wa penzi 2...
Mimi nina umri wa miaka30 natafuta mke wa kuoa anaetoka morogoro sehemu yoyote. Awe tayari kuishi katika mazingira yoyote. Ni pm au nitafute kupitia email sethrodney21@yahoo.com
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30, natafuta mke wa kuoa, mwenye mapenzi ya kweli, mwenye umri 20-30.
Atayekua tayari ani Pm kwa mawasiliano zaidi
Asanteni
Hi all,
Natafuta rafiki wa kike wa kubadilishana naye mawazo awe na miaka 30-40 anayejielewa,msomi na ambaye anatambua nini maana ya maisha karibuni wanawake.
Awe na sifa zifuatazo;
1. Awe Mtanzania
2. Elimu at least form six na kuendelea(iwe rahisi kumuendeleza)
3. Umri miaka 23 hadi 28
4. Awe mcha Mungu
5. Asiwe mwembamba sana, asiwe mnene...
MI ni kijana mkazi wa Dar, niko bachelor, nina elimu ya Chuo Kikuu nilimaliza 2013, nina twenty six years nilipomaliza nikaajiliwa na Serikali hazina mpaka sasa.
Ninatamani kumpata mrembo hapa...
Habari wana JF,
Mi ni mvulana wa miaka 28 na elimu yangu ni first degree pia naishi Dsm. Natafuta binti mwenye miaka kuanzia 19-24 awe na mwili wa wastani, urefu 161-163 sentimita, dini should be...
Habari za mida hii wapendwa,
Mimi ni binti mmoja mtaratibu sana, sijisifii ila niko hivyo kweli. Mapenzi yamenuimiza sana, ilifika mahali nilichukia sana wanaume, niliona ni wanyama nimekaa...
Nale khobha ng'wanike wa kotoola, ila abhize na myaka kwandeja makomi abhele asido kela makomi abhele na mpungate, nale ng'wanza, ila abhize na tabia ya wiza, natogilwe ngenu hado, nehu hado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.