Asanteni jamani mlio pm nasema asante sana hakika ukitii utakula mema ya nchi. Nimepata pm nyingi sana naomba kusema zimetosha ili niweze kuchagua mme kati ya hawa.
Asanteni
Natafuta rafiki wa kike popote pale. Awe mkristo mwenye hofu ya Mungu, akiwa ameokoka itakuwa vyema zaidi. Umri miaka 23 hadi miaka 27. Napenda awe mrefu akiwa mweupe itakuwa vyema zaidi. Awe...
Natafuta rafiki wa jinsia yoyote lakini awe msomi mzuri na sio wa kubabaisha angalau ana degree na awe na intelectual ideas na mtafiti wa masuala mbali mbali.
Rejea post yangu,mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 46, bado natafuta mwanamke mwenye nia ya dhati na ya kweli kutoka moyoni ambae anaitaji mume.
Namba yangu ni 0718 53 18 23
Karibu sana
Dunia hii ina mambo mengi sana, unaweza kudhani kuna wanawake wengi kiasi kwamba hawana waoaji, lakini pia kumbe kuna wanaume kibao hawajui waanzie wapi ili kupata wake.
Kuna jamaa zangu...
Chat-pal ikimaanisha rafiki wa kushare mawazo, story, jokes, feelings and experience Kahusu masuala mtambuka kwa vijana, suala la ajira na kipato yakiwemo.
Vigezo kuzingatiwa;
. Umri usizidi...
Ni mgeni humu Jf,
Mwanamke mwenye mawazo chanya anaitajika just 4 chating. Dini yoyote. Umri from 30yrs and above.
Elimu from 4m IV and above.
Asanteni
Habari Wakuu,
Najitokeza kutafuta mke wakuoa, mimi ni mwanaume rijali naishi Dar. Sifa zangu situmii kilevi chochote. Ni maji ya kunde, mwenye umri wa miaka 32, sina mtoto.
Nimtafutae awe na...
25 ndio miaka yangu, Richie ndio jina langu, Tabata ndio makazi yangu, natafuta mwanamke anayejua thamani ya kupendwa na anayejua kupenda kujali, sichagui umri maana umri ni namba tu.
Kwa...
Kichwa cha habari hapo juu kimeshajitosheleza hivyo kama kuna dada atakayekuwa tayari na kukubaliana na hali yangu hiyo ya kipato na atanivumilia nitafurahi kwani naamini endapo nitampata mwenza...
Mambo,
Natafuta mpenzi wa kike hapa awe ni mkazi wa Mara tu na si vinginevyo. Kwa aliye tayari anitumie namba ya simu pia awe na umri usiopungua miaka 29, ndoa inaweza kuwepo kama tutaelewana.
Sorry,
Mimi natafuta mke humu Jf, nina miaka 24,sichagui dini wala kabila,natumaini kuwa nitampata tutakaependana next namaliza chuo hivyo nahitaji wa kuwa naye am tired 2b alone.
Ndugu zangu UMUHIMU WA TENDO LA NDOA KIAFYA
💕Tendo la ndoa ni moja kati ya mazoezi ya mwili.
Wataalamu wanasema kwamba, unapofanya tendo hilo mara tatu kwa wiki husaidia kupunguza kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.