Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30, nina mtoto mmoja nahitaji kuwa na mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu, sibagui dini, kabila wala rangi. Tafadhali iwe kwa anayehitaji tu...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Naitwa Ahmed nina umri wa miaka 30, naishi Dar es salaam, natafuta mchumba ambaye baadaye Mungu akipenda awe mke mwenye sifa zifuatazo:- (1). Awe muislamu au dini yoyote lakini awe tayari...
0 Reactions
1 Replies
947 Views
nina rafiki yangu kipenzi ameathirika. ana afya nzuri na hatumii dawa. anamtafuta mwanaume mwenye status kama yake. awe na umri wa kuanzia 30 kwenda juu ili ukiwezekana waishi pamoja. tafadhali...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Waheshimiwa, Mimi ni kijana 21 years looking for real friend, miaka 19-25 tutakaoweza kubadilishana mawazo na kukuzana kiupeo kupeana ushauri kufaana na kusaidiana nyakati zote, jinsia yoyote...
0 Reactions
0 Replies
716 Views
Wakuu habari yenu, Mi ni kijana wa miaka 30 natafuta mrembo wa kumuoa awe mweupe asiye tumia mkorogo wa aina yoyote niko tayari kumpa hata zawadi ya gari kama ataridhia kuwa na mimi awe anaanzia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi mdada wa miaka 35-38 natafuta mwanaume/mkaka matured wa kubadilishana mawazo and who knows what next; mimi ni graduate, mwajiriwa , mkatoliki nategemea naye awe na walau mwelekeo huo. Kama...
5 Reactions
72 Replies
6K Views
Hello wapendwa, Natafuta rafiki wa kike mwenye upeo wa kimaendeleo awe na age kati ya miaka 20-25, aliye tayari anifollow in box ili Tuwasiliane.Thanx to you all
0 Reactions
3 Replies
849 Views
Mimi ni kijana miaka 35, nimeachana na mke wangu miezi michache ilipita. Nina watoto 2, Ninahitaji mwanamke wa kabila lolote but specifically awe mkristo miaka 20 - 30. Awe na shepu kiasi, mcha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta mpenzi baadae awe mke mwenye umri kati ya 24-28, urefu angalau 165 cm, kabila lolote, dini Mkristo. Mwenye degree na kazi atapewa kipaumbele. PM if your interested
0 Reactions
0 Replies
568 Views
Habari zenu wakuu, Nimekumbuka sana barua za kiswahili zilizokuwa zikiandikwa kwa umaridadi huku zimepambwa kwa maua ya rangi mbalimbali, mfano :A S kiss::A S-heart-2:. Sasa nataka kurudia huu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 24, nipo Dar es salaam. Natafuta msichana yeyote mzuri mwenye umri kati ya 18~24 kwa ajili ya mahusiano baadae ndoa. Mwenye kuhitaji ani pm tupange yetu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta mpenzi wa kike awe na umuli miaka 18 sichagui dini wala kabila kwa msichana yeyote yuko tayari. Anicheki kupitia no 0657829496
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Need some friends
0 Reactions
1 Replies
712 Views
Jamani natafuta mpenzi atakaye kuwa tayari na kukubaliana na hali yangu i mran life style mimi ni mnywaji ila si mlevi sana sio tuwe wote uanze ooohh bby acha kunywa. Mimi sitakuelewa pia kama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hi, Wapendwa nipo Arusha natafuta rafiki wa kike best friend awe na umri wa miaka 23 adi 25 awe pia Arusha. Ni pm no nitakutafuta
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Rejea kichwa cha habari njoo Pm fasta
0 Reactions
16 Replies
5K Views
:thumbup:
5 Reactions
62 Replies
10K Views
I’m going to be honest of what I’m going to say here. I’m 25 this year. I’m very pretty, have style and good taste. I wish to marry a guy with $500k annual salary or above. You might say that I’m...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Rafiki yangu ni ni mwanamke mzuri, chapa kazi mwenye watoto wa3 aliyetoka kwenye ndoa chungu. anatafuta mume awe ana watoto au asiyeweza kuzaa na hatojali kuishi na wanaye na yeye kama kitu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari, mi niko Dar es salaam ila kwa masomo tu nasafiri mda wowote. Makazi halisi ni Tanga korogwe, ila si mwenyeji sana kwasababu sijaishi sana huko. Mi mwenyeji sana mkoa wa Mara musoma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom