Ninayo heshima na uadilifu mkubwa kwenu;napenda kujitokeza katika jukwaa ili kwa lengo la kutafuta mke wa maisha,mke wa kuanzisha nae familia.mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 46,nina urefu wa...
Jina naitwa jeffa Chibah nina miaka 22 natokea kibaha ni mwanachuo kampala univecity nahitaji mpenzi jamani awe na miaka mwisho 22 na awe anajitambua.
Namba yangu 0752832215
Jamani nimerudi tena nilipost ombi langu hapa kuwa nahitaji mwanamke wa kumuoa nimedhamilia na wala si utani age yangu ni (30) na nimeajiriwa serikalini! niliomba kuwasiliana nami kwa Pm kwa...
Wadau,
Mimi najitokeza kutafuta kadada kadodo alafu kazuri, awe anaishi Dar es salaam napendelea zaidi awe level ya chuo kikuu, ani pm alie tayari, mimi age yng 29, yeye awe below 26
Kwa heshima na uadilifu mkubwa kwenu!Napenda kujitokeza hapa KUTAFUTA MKE WA MAISHA,MKE WA KUANZISHA NAE FAMILIA.Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 46,nina urefu wa futi 5 na inch...
Nahitaji mwanamke mzuri na mwenye kazi yake anapata kipato chake, mimi nina umri wa miaka 28 sina mwanamke kama yuko ambae yuko tayari kuwa na mimi anicheki ibox.
Mcha mungu sana ( narudia tena ) mcha mungu mno uwe mkristo au muislam kwangu haina tatizo
Unayejitambua
Usiwe mzuri sana wala mbaya sana
Elimu kuanzia diploma, degree, masters na phd na umri...
Salaam' naitwa sam npo morogoro nna miaka 26 natafuta mchumba awe na umri kuanzia miaka 22-23,asiwe mwanafunzi awe mweupe au mweusi nipo gudy kwake na awe mrefu wa wastan,awe mkristo aliye tayari...
Awe anapatikana dar es salaam, age 23-28 kama akiwa mkristo itakuwa poa zaidi,elimu yake iwe kuanzia form four na kuendelea.
mimi mwenyewe napatikana dar es salaam,nina elimu ya chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.