Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nimehangaika sana nikimtafuta mke wa maisha yangu kwa mda mrefu. Wengi walio jitokeza hawakuwa na nia ya dhati ajabu nimekutana na mtu ambae ananjia inafaa katika maisha yangu kwa njia ambayo hata...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ninaumri wa miaka 25 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 18-24 awe na sifa zifuatazo; -Mcha mungu na mwenye mapenzi ya kweli -Elimu 4-6 -Asiwe mnene sana -Sichagui kabila wala rangi...
0 Reactions
2 Replies
972 Views
Habarini wote, Naomba nieleweke kuwa mimi nahitaji mwanamke mmoja (sio mke) kwaajili ya kutumia pesa nilizo nazo,nina hela kwakweli na pia zitamridhisha kwa muda mrefu tu japo siwezi kusema ni...
0 Reactions
105 Replies
8K Views
Habari za leo ndugu zangu, Mimi ni mkazi wa Arusha ila kwa bahati nzuri nimepata kazi mkoani Singida, kutokana na ugeni napenda kupata marafiki waliopo Singida mjini, na pia wawe watu wazima...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
1.Mwenye adabu na unyenyekevu. 2. Kujari na kuthamini familia na jamii kwa ujumla. 3 Elimu yaani mwenye kujitambua yy ni nani. 4. Mkarimu asiwe mkimya kimya awe mchangamfu kwa watu. 5...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni mdada wa kitanzania wa kikiristo, ninahitaji mwanaume atakaeweza kuwa rafiki yangu mpenzi mume wa maisha na katika maisha. Awe mkristo, awe anajitambua kama mwanaume halisi, awe na mwili...
3 Reactions
44 Replies
5K Views
Natafuta mwanamke wa kuoa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta marafiki wa kuchat nao iliwanikeep busy katika kuondoaa huu upweke nilionao coz tayari nishatendwa yani sometimes mpaka nahisi akili inaganda coz of stress. But nimejuta mimi kupenda...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wakiume natafuta mchumba mwenye busura, asiwe Mkurya awe anajua kusoma nakuandika. Mimi nimeajiriwa serikalini elimu 4-6. Aliyetayari anitafute pm
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Marafiki wa ukweli, njoo tuchat sasa nitumie namba nitakutext moja kwa moja.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
A m a boy of 26 years old. Kama ukointerestedi njoo PM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za kazi wana jamvi wenzangu, Najitokeza hapa kumtafuta mwanamke ambaye tuje tuwe na malengo ya kujenga ndoa yetu.Mimi ni muajiriwa wa serikali na sijawahi kuoa na wala sina mtoto ndyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nami wacha nitumie fursa hii kutafuta rafiki wa kike baada ya kuwa mpweke kwa zaidi ya miezi minne mimi ni mtumishi na nina miaka 30 naishi Dar. Sifa:awe...
0 Reactions
2 Replies
955 Views
Hi wadada, Namtafuta rafiki wa kike aged 16-25.Kwa mawasiliano zaid tumia; willychipongoma@gmail.com
0 Reactions
3 Replies
998 Views
Habari, Mimi ni mwanaume mwenye miaka 28yrs,natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto. Kwa mawasiliano zaidi ni Pm
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naamini mke nitampata humu, sijali Dini, rangi wala Kabila.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama upo tayari ni Pm nitakupigia it is not a joke
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naitwa emmi,nahitaji mwenza wa maisha miaka kuanzia 39-43 awe na siha njema mwenye muonekano mzuri awe mcha Mungu na awe mwenye kujishughulisha,kujiamini,awe na mtoto walau mmoja.Je wewe una sifa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nahitaji mke wa kuoa kama tukikubalina bada ya kuwasiliana, Nahitaji awe Muslim kabila lolote pia umri wowote sio tatizo akiwa Dar-es-salam ni bora zaidi awe na kibaruwa chochote. Mimi nina...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
natafuta mwanamke m2 mzima, mimi nina umri wa miaka 25, awe anajiheshimu, asizidi miaka 38, sihitaji fedha toka kwake bali mapenzi
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom