Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Iam a boy, natafuta mpenzi anaeishi mkoani Tanga. Alie tayari aniPM.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 28.Ni mfanyakazi na elimu ni shahada ya awali. Dini yangu mkristo. mimi ni mrefu, sio mnene. rangi yangu maji ya kunde. Najitokeza hapa kwa mara nyingine...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni mfanyakazi idara ya fedha katika halmashauri flani hapa Tz, natafuta mchumba au mke wa kuoa ambae yupo tayari na awe ni muajiriwa serikalini pia.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Awe Muislam, kuanzia miaka 35 na kuendelea, awe na shughuli ya kufanya, awe anajua maana ya ndoa na miiko yake. 0765288383 au 0782190718
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MImi ni mwalimu primary nina miaka 24, natafuta mchumba wa kuoa. mawasiliano ni 0683708181
0 Reactions
2 Replies
893 Views
Habari wanajamvi, Mimi ni mwanafunzi wa chuo kimojawapo hapa dodoma,nipo hapa kutafuta rafiki wa kike kutoka chuo chochote,hata kama sio mwanachuo nafasi ipo,npo serious katka hili dada...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
sina bahati! closed!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Msichana mzuri na mrembo mwenye sifa zifuatazo anipm; education level:4m6 to bachelor degree Age:18-23 religion:christian Healthy status: not having HIV/AIDS Virginity: you must have a virgin...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nasubiri inbox. lol sina mengil.
3 Reactions
13 Replies
3K Views
[SIZE=3]Mimi if we will agree, ]
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mimi ni kijana 25 years nipo dsm, awe tayar kupima afya, mengine tutafahamiana zaidi. check me: saangap@gmail.com or PM. Karibu.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Serious nahitaji mwanamke aliye single wa umri huo ili awe wangu forever nina 27years now. Njoo pm ukihitaji.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta msichana wa kubadilisha nae mawazo ila awe 29+ kuna mambo nataka kujua kabla sijaingia katika ndoa watoto please dont.
0 Reactions
1 Replies
758 Views
A very brief discription of mineAge- 36 yrs Status- divorced(forced- i will explain why) Occupation- engineer City- DSM Who i need- girls/mother above 27 yrs( awe anajishughulisha na chochote kile...
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Jf natumai muwazima wote, Leo naja humu kwa lengo moja tu ni story ndefu ila jua moyo wangu uko na amani sasa kutokana na maumivu ya mapenzi kwa muda mrefu na sasa nimerudi kwenu , kwa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Natafuta rafiki wa kike awe Moshi au Arusha miaka kati ya 18-25 kama yupo tayari anicheki whatsap 0759561434
0 Reactions
2 Replies
3K Views
ur welcome lets chart through whats app 0716737730
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Habari wanaJf, Natafuta marafiki wa kuchati nao whatspp tu, ila wawe wenye kujielewa jinsia yeyote. Weka namba hapa au nipm.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Nieleweke si mimi ni mtu wangu wa karibu anahitaji.Ni mwanamke btn 30 to 35 mrefu kias,i mweupe,mchaga,elimu diploma,mkristo mcheshi, mkarimu ana hofu ya mungu ,naishi Arusha mengine mtazungumza...
3 Reactions
70 Replies
8K Views
MIMI NI KIJANA WA MIAKA 21. NAJITOKEZA KATIKA UKURASA HUU KUTAFUTA RAFIKI WA KIKE AMBAYE KAMA TUTARIDHIANA, TUJE TUISHI PAMOJA KAMA MUME NA MKE HAPO BAADAYE. NASOMA MWAKA WA KWANZA CHUO FULANI DAR...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom