Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hey there, Iam looking for a graduate/ college girlfriend to be committed in some affairs terms n condition must reside in Dar es salaam and aged 18-25yrs. Kindly write me through...
0 Reactions
6 Replies
973 Views
edited post
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu Wakuu nikiwa nakaribia umri wa miaka 25, nimefanya maamuzi magumu nimeamua kwamba sitaki kuwa na mke kwa maisha yangu yote, ila nataka kuwa na watoto wawili, mmoja wa kiume na...
2 Reactions
155 Replies
13K Views
Awe na umri usiopungua miaka 18 & usiozidi miaka 24,lengo ni kubadlishana mawazo,tuwacliane kupitia barua pepe hapo chini. Ngumbamajora@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25. Naishi mwanza. Natafuta msichana (specifically) mkristu ili kusiwe na hitilafu kwa ajili ya dini. Ili awe mchumba wangu na baadaye mke. Sifa za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mchumba awe na umri kuanzia 18-21 na awe na elimu yoyote ila awe anajielewa na kujiheshimu nipo mkoani huku ukiridhia tutakwenda sawa.
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa. nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na...
11 Reactions
139 Replies
38K Views
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26 nahitaj girlfriend 18-23.Akitokea Arusha au Moshi itapendeza zaidi, sichagui dini wala kabila. Alie serious ani pm
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimeichukua hii toka kwa Michuzi. Tafadhali naomba uniwekee wazi maombi yangu haya. Nina umri wa miaka 35 nikisoma na kufanya kazi hapa Marekani. Natafuta mchumba( dada wa kitanzania) kokote...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mm ni mwanaume nina miaka 24 najua huku wapo wasichana warembo wenye tabia njema mm mtaan ni mpole sana so chance nakosa pia npo bize na kazi.....vigezo umri chini ya miaka 22 kabila sichagui...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Jamani wana Jf natafuta boyfriend lakini awe serious na relation.
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf, Natafuta marafiki wa kuchat jinsia zote me/ke.Umri miaka 20-40, kwa aliye tayari ani pm.
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Nimekuwa single kwa mda mrefu now nahitaj rafiki wa kike ambaye yupo tayari kuwa mke wangu siku za baadaye. Awe mkristo(umri had 26) elimu yoyote ,aliyepo Mbeya ,Iringa na Dodoma atapewa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi nina umri wa miaka 31 nataka rafiki wa kike tuwe tuna chat.
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Hello, wizzy hapa natafuta rafiki wa jinsia yeyote. Mimi ni mwanaume, 30 ninafanya kazi. Graduate wa chuo wa shahada ya fedha na benki. Ninapenda kuogelea, muziki, kusafiri, kwenda mbugani, kuwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kiume mwenye urafiki wa kweli miaka 29-35 asitoke nje ya Dar es salaam, mpenda maendeleo na anayejitambua. Aliyetayari ani mp,
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu, nimekuwa lonely kwa muda sasa, hivyo natafuta mwanaume wa kuchat nae umri kuanzia 39-43, awe single tafadhali. Aliye tayari ani PM.
1 Reactions
30 Replies
12K Views
Natafuta mwanamke mlokole ambaye baada ya kuridhika atakuwa mke,umri ni kuanzia 27 had 34.na hatakiwi mwenye mtoto zaidi ya mmoja ila ambaye hazai atapewa kipaumbele. Aliye tayari anipm
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Umri wangu ni miaka 29, mkristo,elimu chuo, nimeajiriwa na niko morogoro. Nimtakae umri 30-34,awe mkristo, mwajiriwa au mjasiriamali. Mengine tutafahamiana zaidi. Kwa PM kwa anae hitaji.
0 Reactions
43 Replies
9K Views
Habari wana Jamii forums. Ninarafiki yangu wa kike ana miaka 20 ni virgin,anatafuta rafiki wa kiume atakayeanza nae mahusiano na baadae Mungu akipenda wafunge ndoa. Yeye ni mkristo na...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Back
Top Bottom