Mimi ni mtumishi serikalini.Natafuta mke umri wake usizidi miaka 33.Awe dini yeyote.Angalau awe na elimu ya certificate yoyote ile.Nina elimu ya shahada moja.Sichagui kabila.
Aliye serious anipm...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 29,elimu ni chuo kikuu,ni mwembamba kiasi ni mfupi kiasi alafu ni mweusi. nimtakae awe na umri wa miaka 20-27,elimu yake awe na masters,mweupe,asiwe...
Kama wewe ni mdada/mama wa umri huo na unataka kuwa na rafiki wa kiume wa kumwamini
Sifa;
Awe na Afya njema
Awe na kipato chake kizuri
atakuwa huru kuwasiliana na mimi na kukutana kwa nafasi...
Mimi ninaishi na vvu nimetengana mke wangu baada ya kugundua kuwa mimi ni mwadhirika hali yangu ni mzuri huwezi kunitambua kwa macho na ninatumia arv kwahiyo natafuta mwenzangu anu PM awe...
Natafuta mwanamke wa kufunga naye ndoa ,sifa zake awe ni mwisalm pia anayefanya kazi za kujiajiri ama kujairiwa elimu yeyote miaka kwanzia 20 mpka 35, kabila yeyote mimi namika 35 na elimu ya...
Mimi ni binti wa miaka 22 natafuta rafiki wa kike, awe anajiheshimu, anamawazo ya maisha, sio muhuni wala mpenda starehe za ajabu, awe anapenda kusali na mwenye hofu na mungu, msiri msafi na...
Naitwa jaffer chiba ni mwanachuo ktk chuo wa ualimu ninahitaji mpenzi wa kuwa nae awe na umri wa miaka 18 mpaka 22 akiwa tayari utanipata 0758082840.
Thanx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.