Habari za weekend
Najitokeza hapa kutafuta yule ambaye atakuwa wangu katika shida na raha, mimi ni mfanyakazi kwenye shirika la umma nina shahada ya juu ya uhasibu umri wangu 31, natafuta...
Habari wanajamvi
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 29, niliehitimu chuo kikuu mwaka jana ambae sina ajira,pia natafuta mke wa kuoa ambaye atakua tayari kusaidiana wakati wa shida na raha.Ewe...
Mimi ni mkazi wa Ubungo-Dar es salaam kutokana na majukumu mengi niliyonayo nakosa hadi muda wa kutafuta mwanamke hivyo nahitaji mdada mzuri wa kuwanae na nikiridhika nae basi nitamuoa kabisa,umri...
Wanajukwaa naja kwenu kwa upole sana kuomba msaada.Nina mdogo wangu anatafuta mke wa kuoa ana kazi yake inamtosheleza ila yupo Nairobi. Yupo disparate on this na amenishirikisha nimsaidie katika...
Mimi ni kijana wa umri miaka 25 nina cheti cha form 4,nimepanga chumba Usagara kwa sasa sina ajira nipo nasaidiwa na ndugu zangu nahitaji mke ambae tayari anayo kazi ili tuweze saidiana majukumu...
Mimi ni kijana raia wa tanzania elimu yangu ni degree moja. Naishi Dar es salaam. Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri kuanzia miaka 20 mpaka 30. Elimu yake angalau form four.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.