Nataka mchumba kama yupo anayetafuta mume wa ndoa njoo hapa.sifa awe mrefu kiasi mweupe kiasi na mwenyeji wa pwani pia awe MUISLAM.
Umri kuanzia 28 mpaka 32.sihitaji msomi sana.
Habari wana Jamii forums.
Mimi ni mwanaume,naish Dar es salaam nahitaji mke wa kuoa mwenye sifa hizi:
Elimu degree ya pili,mrefu kiasi,mnene kiasi,rangi yoyote,anaeishi Tanzania, umri...
Uwe majiyakunde/mweupe, kabila lolote,mkristo, umri 18-23, mkoa wowote ule,mwenye umbo lakupendeza, mimi niko Dar es salaam Kinondoni,ni mweusi 168.60 cm tall.
Ni pm nitakupatia mawasiliano yangu.
Ama kwa hakika siku hizi za utandawazi kumpata binti atakaye kuwa mke ni kazi sana kama Ngamia kuingia tundu la sindano.
Baada ya kufikiri sana nimegundua kuwa ile shule ya wasichana wa Kimasai...
Habari wakuu.
Mimi ni mwanaume natafuta mke wa kuoa anayejua nini maana ya kupenda,kwa sasa sina kazi awe tayari kushirikiana nami kutafuta kazi,akiwa na utayari tuishi mume na mke awe na umri...
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 30 nimuajiliwa katika shirika la umma, ninatafuta mchumba mwenye umri kati ya miaka 24 -29, awe anafanya shughuri yoyote iliyo halali ,dini yoyote ...
Nina miaka 28, jinsia yangu ni mwanaume, elimu yangu degree, ni muajiriwa.... natafuta mchumba popote, napendelea zaidi mweupe, asiwe kibonge , mcha Mungu, aliyetayari ani pm
Wakuu tuna kazi ya kumtafutia rafiki yetu mke aliyeokoka lakini awe mature miaka 35 na kuendelea asiwe na watoto labda mtoto mmoja,ndugu yetu ana 43.
Tafadhali pm haraka sana.
Hellow.
Natafuta marafiki wa kike wenye interest na kuchat na ambao wako tayari kushare hata mambo serious ya kimaisha ikibidi,tupia namba yako hapa,miaka kuanzia 18-24.
Waungwana nimeamua kuoa na kuanza maisha ya ndoa,hii tabia ya kusema bado hapana.Ajitokeze tu mwalimu wa sekondari nikamilishe taratibu za kwenda kwao.Umri awe na 23-26.
PM ihusike katika hili...
Natafuta mchumba ambaye hana uzazi na ambaye atakuwa tayari tufunge ndoa baada ya kufahamiana,nipo Kanda ya Ziwa kikazi,Umri miaka 30,elimu yangu ni chuo kipato cha wastani.
Napenda awe na umri...
Habari wana Jamii forums.
Natafuta marafiki wa jinsia yeyote. Mimi ninapenda muziki(kusikiliza), kuogelea, kusafiri, kwenda baharini, vollyball, football, movies na kuwa na furaha. Ninafanya...
Mimi ni mwanaume wa miaka 27,npo Moshi mjini Msaranga,nahitaji mpenzi mwenye elimu,kabila na Dini yoyote kikubwa mwenye kujiheshimu nakuthamini mapenzi yetu,karibu pia on whatsapp but pia mimi ni...
Habari.
Natafuta Rafiki Wa Kike Mtu Mzima Wa Kubadilishana Mawazo.
Sifa: Awe Hana Mume Au Mume Mwenye Busara Na Hekima
Umri Kuanzia Miaka 30-40
Anayejiheshimu.
Kwa Aliye Tayari Ani Pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.