Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
A Serious Lady, Willing To Chat May Send Me Her Contact Through Private Messege
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Natafuta msichana aliye tayari kutunzwa. Mimi ni mtoto wa kigogo hapa nchini. kwa sasa nafanya biashara pia mbunge mtarajiwa. Naishi Oysterbay kazi yangu ni kuwachukua warembo wakali hasa wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mambo vipi girls. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 naishi Dar es salaam, natafuta rafiki wa kike aliye Dar es salaam kwa aliye tayari anitafute kupitia. Namba 0683076985.
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Napenda niwe karibu kimawasiliano sana na mwanamke, umri 18-25. Sijali elimu kikubwa awe mwenye heshima.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naitwa fikiri niko Dodoma,24yrs natafuta mwanamke mwenye mapenzi ya kweli. Najua kumridhisha vyema mwanamke. Sifa, hata kama umezaa,au una umri kunizidi. Au hata kama hauko vizuri kiuchumi wala...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mwanamke aliye tayari tuwasiliane, umri uwe 27-32, uwe unaishi Dar es salaam au morogoro, Ukiwa mweusi mnene itakuwa poa zaidi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nawependa nyote asanten.
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Nina miaka 32 male,nimeajiriwa,rangi-maji ya kunde,mrefu kiasi 156cm,elimu ya chuo kikuu,mwenyeji wa Simiyu na ni mkristo. Natafuta mke mwema,mkristo wa kweli,mrefu,mweupe au chocolate colour...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
mim ni kijana wa miaka 26, mjasiriamali natafuta mchumba umri (18-21), Kwa aliye tayari aniPM,,,SIBAGUI_Dini au kabila ila awe na heshima pia mapenzi ya dhati
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Nahitaji mume mwenye uhitaji wa mwanamke. Awe mkristu mcha Mungu, awe mchapa kaza(kazi halali). Awe tayari kupima UKIMWI, awe tayari kuwa baba wa familiaa. Pm ni kwa mwenye uhitaji tu!
2 Reactions
62 Replies
7K Views
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba...
0 Reactions
215 Replies
18K Views
Umri wangu 30yrs, mfanyakazi, mkristo Roman Catholic, natafuta rafiki wa kike mwenye sifa zifuatazo: - Umri 25 - 27. - Elimu diploma - digrii. - Asiwe mchaga, mhehe au mnyakyusa. - Awe mkristo. -...
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Naomba kutangaza kuwa tuna nafasi chache zimebaki kwa wadada wa Moshi/Arusha umri kuanzia miaka 29 to 40 ambao wanajiona wapo wapweke kipindi hiki. Masharti ni marahisi tu: 1.Awe ni mdada/mama...
0 Reactions
2 Replies
649 Views
Nipo single wadada baada ya kuumizwa valentine inanihamasisha nifungue ukurasa mpya 18 hadi 25 ni pm, sura tabia yaweza tupeleka kanisani.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wana Jamii forums. Mimi niina miaka 26 ninafanya kazi za imformation technology, nahitaji mke wakuishi nae vigezo ni awe na kazi yeyote awe anaishi kaskazini yeyote alie tayari ani pm.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nimekuwa nikishuhudia watu wa jinsia ya kiume wakishambuliwa kwa kuitwa majina kama domo zege, huko mtaani hujaona n.k. kwenye jukwaa la MMU (Love connect). Baada ya kupost kuwa anatafatufa mke...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni kijana jinsia ya kiume hahitaj mwenza nimwajiriwa katika taasisi ya kiserikali nafasi ya office attendant mwenza pia aanzie kidato cha nne elimu yake. Nawasilisha.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mi naitwa Gabi nina miaka 26 natafuta mke wa kuoa kabila lolote ani pm nimpe namba tuongee.
0 Reactions
0 Replies
672 Views
Wanawake wengi huachwa au kusalitiwa kwa sababu ya kutomjali mwenza wake hivi... 1. Muda wote atakuwa hana chakuongea, huku akisubiri ulete maongezi. 2. Ukitaka kuonana nae atakuzungusha kweli...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 29, ni mtumishi wa uma. Elimu yangu ni shahada ya awali. Natafuta rafiki wa kike ambaye tutakuwa tunabadilishana mawazo na kushare mambo mbali mbali. Mungu akipenda...
0 Reactions
1 Replies
985 Views
Back
Top Bottom