Ukweli maishani mwangu napenda kuwa na mwanamke aliye nizidi umri,awe mwenye elimu, na mwenye uwezo wake kiuchumi pia mcha MUNGU.
Kwa sababu bila MUNGU hakuna kitu,mwenye ukarimu na mpole, pia...
Mambo vipi wadau wa Love Connect.
Mimi ninaitwa Mlossy Junior ninatafuta Mchumba kwani nimechoka maisha ya upweke. Elimu yangu,nina Degree ya kwanza na ni muajiriwa.Ninaishi Dar,kwa aliye tayari...
Kama headline inavyosema, natafuta mwanamke wa kufarahi nae, gharama za outing ni juu yangu.Sifa zake,awe mzuri wa sura na umbo/awe Arusha. Kama uko serious ni Pm.
Asanteni.
Hamjambo marafiki,natafuta mchumba kuanzia miaka 20-25
Sifa
awe mkristo mcha Mungu(msabato atapewa kipaumbele)
mwenye elimu kuanzia diploma na kuendelea.
Mrefu wastani .
Hamjambo marafiki,natafuta mchumba kuanzia umri wa miaka 20-25
sifa
Awe mkristo mcha Mungu(msabato atapewa kipaumbele)
Awe na elimu ya diploma na kuendelea.
Mrefu wastani na mwonekano wenye...
Hamjambo marafiki,natafuta mchumba kuanzia miaka 20-25
Sifa
awe mkristo mcha Mungu(msabato atapewa kipaumbele)
mwenye elimu kuanzia diploma na kuendelea.
Mrefu wastani .
Iwapo una vigezo...
Kwa heshima kubwa najitokeza hapa kutafuta mwanamke ambae nae mwenye uhitaji mkubwa kwa mume, umri wangu ni kati ya miaka 43 na 48. Naomba yule mwanamke mwenye uhitaji wa mume.
Tuwasiliane kwa...
Hii ni kwa wadada wa Jamii Forums tu.
Kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka 10 Valentine hii nitakuwa mwenyewe mwenyewe hivyo dada yeyote aliye tayari namkaribisha siku hii tuwe pamoja...
Wapendwa kama kichwa cha habari hapo juu cha jieleza.Nipo natafuta mchumba atayekuja kuwa mke wangu,umri wangu miaka 25,kwa yeyote.
Aliyetayari tuwasiliane.
mm ni boy 22 nimejitokeza hapa kutafuta mchumba wa kike ambae yupo tayari kuishi na mm.Mimi in mfanyakazi wa serikali
......sifa....
awe na elimu ya kujitambua
awe na kazi yake ya kueleweka...
This goes to every Love connect member.
Not everyone that you see in a relationship is happy and comfortable. Many are in pain, theyre stressed, ever in regrets, tears, torture, they have...
Habari za leo wadau.
Mimi ni mwanaume umri miaka 23-25, natafuta mwanamke (binti) miaka 22-25, wa kuwa nae kama rafiki wa kubadilishana mawazo, na kuwa nae katika mahusiano yasiyo rasmi (friends...
Tangu niachane na Girlfriend wangu nimekuwa katika wakati mgumu sana. Wakati mwingine napata hasira bila sababu za msingi. Hapa nyumbani naishi na mdogo wangu, sometimes nakuwa si 'mtreat'...
Mimi ni ni mwalimu nimeajiliwa serikalini ninafundisha sekondari. najitokeza katika jukwaa hili kutafuta mwanamke mcha MUNGU. mwenye umri kuanzia miaka 24-30.
Kama upo nipigie kwa 0659336264...
Natafuta mchumba wa kuoa mwenye sifa hizi:
i. Awe na umri wa miaka 18-22.
ii. Awe mkatoliki au aliyetayari kuhamia Roman Catholiki.
iii. Awe mrefu wa wastani
iv. Awe na elimu angalau kidato cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.