Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Naitwa Geofre wa Mbeya Tz nna miaka 24 ni muajiriwa,ni mrefu,rangi maji ya kunde natafuta mchumba mwenye vigezo vifuatavyo. 1.Awe mweupe au maji ya kunde. 2.Awe mwembamba au mwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, jinsia yangu ni mwanaume,Nipo Dar es salaam natafuta marafiki ili tubadilishane mawazo.
0 Reactions
1 Replies
969 Views
Habari. Mimi ni kijana miaka 25,natafuta mdada au mmama aliyenizidi umri kwani ndo nawapenda ni kijana nimeajiriwa na Elimu yangu Chuo kikuu awe na hela au asiwe na hela yote sawa ila awe...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habarini. Mimi ni kijana nina miaka 40 nina watoto wakiume watatu ni mfanyakazi wa serikali na pia ni mfanyabiashara, niliachana na niliyezaa nae miaka miwili iliyopita. Tulishindwana na bahati...
1 Reactions
58 Replies
6K Views
Mimi ni mwanaume natafuta mke mwenye makalio ya haja maana ndo ugonjwa wangu, pia kifua kisiwe kikubwa sana cha wastani. kama upo tayari njoo pm nikuweke ndani. Mwaka mpya na mambo mapya. umri...
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Nina miaka 31yrs, niko Dar es salaam, ni mwenyeji wa Mbeya,elimu ni O'level,mrefu 178cm, 75kgs, black, Mkristo KKKT, nafanya kazi na kuishi Dar es salaam. Ni muajiriwa Serikalini. H.I.V-tutapima...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Desperate times calls for desperate measures
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habarini Wadau Jinsia Yangu Ni Mwanaume. Natafuta Marafiki Wakubadilishana Mawazo. Uki Pm Weka Na Mawasiliano.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ninayeishi Dar es salaam natafuta rafiki wa kike anayeishi Dar es salaam.Aliye tayari anitafte kwa no 0683076985.
0 Reactions
1 Replies
752 Views
Wadau connections international ltd. Imezidi kukua na sasa tumefungua ofisi Kigali, Rwanda na Kinshasa, Congo DRC. Ukiwa na hitaji lililotajwa hapo juu. Tuma wasifu wako kwa kuni-PM utapewa...
2 Reactions
18 Replies
7K Views
Mimi naishi Dodoma ,ni mfanyakazi wa Taasisi moja wapo ya Bunge la Tanzania ,sijaoa , ila niko na maisha ya kuridhisha sana nina gari mbili yangu na yake napenda kumwambia hivyo mchumba mwenye...
0 Reactions
77 Replies
18K Views
Mm ni kijana natafuta mchumba mwenye umri 18-22 awe na hofu ya mungu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi Ni Mwanaume,Natafuta Mke Wa Kuoa,
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 25 katika maisha yangu huwa najisikia mpweke sana kama sipo kazini.Kwani sijawahi kuoa na sina mpenzi wala mchumba.Nahitaji mwanamke yeyote wa kubadilihana naye mawazo. My...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za masiku. Ni mara ya tatu narudi kwenye jukwaa kwa sababu ile ile.Nipo tayari na nimejiandaa kuwa mume bora.Nina imani humu nitampata mke bora wa maisha yangu. Aliyetayari kuwa mke bora...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari na heri ya mwaka mpya ndugu zangu. Mimi ni mwanaume wa miaka 27 now,nipo Moshi mjini Msaranga.Elimu bachelor degree of banking and finance,mchaga wa Oldi moshi,mkristo safi Lutherani,mrefu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nakaribisha PM kwa mdada mwenye nia ya dhati ya kuolewa. Sifa awe mkristou umri wake usizidi miaka 29. Mwenye mtoto 1 ruksa,asiwe mnene na asiwe mweusi,awe anajua kusoma na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana Jamii forums. Natafuta mume wa kuishi nae.Awe kati ya miaka 32 hadi 35.Awe mkristo nimeajiriwa Serikalini na Nina mtoto mmoja.umri wangu ni Milka 29,Elimu yangu ni shahada ya...
4 Reactions
44 Replies
7K Views
Natafuta rafiki wa kike mdanyakazi na ambaye anajitambua mwenye kupenda maendeleo tafurahi sana anaweza kunitumia sms kwa 0713164090
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom